Herufi R na L ni tatizo kwa Rais wetu, tumsaidie

Lugha ya kuandika ni tofauti na kuongea, hata Ph.D ya Kemia, alifanya thesis yake kwa Kiingereza cha kuandika, na akaidefend kwenye jopo la wabobezi na ikapita, lakini mwambie akahutubie kwa Kiingereza...
P
Huu ndio ukweli ulio wazi ...watanzania hasa wanaojiita wasomi asilimia 90 hawawezi kuongea kingereza kabisa hasa mbele za watu hasa graduates...na huu ni ukweli ulio uchi...bado hata kwenye kukiandika kuna matatizo pia japo...ni rahisi hapa kusema fulani hajui kuzungumza kingereza kwakuwa unamuona anavyo hangaika lakini na kuhakikishia ukiitisha mdaharo wa wana jf hawa hawa wa humu ufanyike kwa kingereza tupu....utoamini kama ni hawa wanao lalamika humu...nina kuhakikishia itakuwa ni vituko.
Kuna mtu humu ni mahiri sana wa kuongea kuandika kingereza...lakini kuna sehemu nilimkuta alikuwa ana tetemeka na kigugumizi juu...hahahahaha
Ukweli ni kwamba si kingereza tuu hata Kiswahili kwa watanzania wengi ni tatizo kabisa...
 
Tatizo la ku pronounce R na L katika kuongea English ni changamoto kwa Africa nzima worse watu wanaotoka nchi ambazo lugha zao asili yake ni Bantu na Zulu languages in other words kuanzia mipaka ya Kenya, Uganda na Congo: ukishuka chini mpaka South Africa wengi wetu R and L ni kasheshe kwenye English language.
 
Mimi sioni aibu hapo!!
Yeye siyo Muingereza kwa hiyo hana sababu wala faida ya kuenzi utamaduni usio muhusu!
Kumbuka kwamba lugha ni moja ya utambulisho wa utamaduni!
HAPO WANAOTIA AIBU NI WAZIMBABWE!
Ni dhahiri kabisa hizi herufi mbili za R na L zinamtatiza sana Raisi wetu, Mara nyingi ktk hotuba zake amekuwa akisikika kabisa kuzikosea yaani sehemu ambayo alitakiwa kutamka neno Reli, yeye atasema Leli, tena kwa kujiamini,. Ktk Msamiati wa kiswahili neno Leli Lina maana tofauti kabisa.

Ni Mara nyingi sana amekuwa akijichanganya kuhusu herufi hizi, kwa Sisi Watanzania tunamvumilia kwa sababu ni mtu wetu, lakini Tatizo linakuja pale tu anapokuwa nje ya Nchi ambapo inabidi aongee lugha ya Kimataifa, kwa English, penye Herufi R ukibadili na kuweka L, automatic huwa inabadili maana nzima ya unachozungumzia. Na wakati mwingine inaweza hata kuwa ni matusi makubwa. Niwaombe Tu Wahusika kwa Roho safi, Wajitahidi sana kumwelekeza namna nzuri ya kutumia hizi herufi ili Mara nyingine tusije kupata aibu Kama hii inayoendelea ktk mitandao huko Zimbabwe . Pls
 
mkuu hayo mambo ya kawaida sana, usukumani hizo herufi zinatamkwa the same, kwa maana nyingne msukuma aloiva hatumii kabisa R bali L na pia usukumani kwa kufata mila za kisukuma hakuna majina yenye herufi ya R bali majina yote yenye mlengo huo yanapoandika kisukuma huwa ni L tu...mfano Mayala, Malando, Kabula, Milembe, Magufuli nk, so kwa kisukuma hakuna R bali kuna L..
"mwabheja bhagosha"
Makabila mengi yana herufi ambazo wakati fulani hazipo katika Kiswahili au wanakosa herufi za Kiswahili kwenye lugha zao.

Tunaenda shule, tunasoma Kiswahili ili kuondokana na athira za lugha zetu za asili. Unapoongea Kiswahili, ni lazima ufuate kanuni zake, ndiyo maana tunafundishwa na tunajifunza.

Halikadhalika, kwenye lugha ya Kiingereza, kuna kanuni zake. Na nyingine zipo kinyume kabisa na lugha yetu ya Kiswahili, kimuundo na kisauti, ni lazima tujifunze ili tuendane na misingi ya hiyo lugha.

Njia nzuri ya kumudu kitu, kwanza ni kuyakiri mapungufu, kama yapo.
 
mkuu hayo mambo ya kawaida sana, usukumani hizo herufi zinatamkwa the same, kwa maana nyingne msukuma aloiva hatumii kabisa R bali L na pia usukumani kwa kufata mila za kisukuma hakuna majina yenye herufi ya R bali majina yote yenye mlengo huo yanapoandika kisukuma huwa ni L tu...mfano Mayala, Malando, Kabula, Milembe, Magufuli nk, so kwa kisukuma hakuna R bali kuna L..
"mwabheja bhagosha"
kama ni hivo,kwa nini 'catalyst ' (neno analopenda kutumia mara nyingi) anatamka 'catarist '
 
Makabila mengi yana herufi ambazo wakati fulani hazipo katika Kiswahili au wanakosa herufi za Kiswahili kwenye lugha zao.

Tunaenda shule, tunasoma Kiswahili ili kuondokana na athira za lugha zetu za asili. Unapoongea Kiswahili, ni lazima ufuate kanuni zake, ndiyo maana tunafundishwa na tunajifunza.

Halikadhalika, kwenye lugha ya Kiingereza, kuna kanuni zake. Na nyingine zipo kinyume kabisa na lugha yetu ya Kiswahili, kimuundo na kisauti, ni lazima tujifunze ili tuendane na misingi ya hiyo lugha.

Njia nzuri ya kumudu kitu, kwanza ni kuyakiri mapungufu, kama yapo.
Ahsante Mkuu, bado hajachelewa kwa sababu elimu haina Mwisho
 
Mwache Mheshimiwa Raisi aoneshe uzarendo wa hari ya juu kwa kuzungumza Kiswahiri.
R=L
 
Mwache Mheshimiwa Raisi aoneshe uzarendo wa hari ya juu kwa kuzungumza Kiswahiri.
R=L
Ukweli huwa najisikiaga Vibaya sana, hili Mbona ni jambo Rahisi sana kulirekebisha, sema wahusika hawajaamua Tu,
 
Tatizo la ku pronounce R na L katika kuongea English ni changamoto kwa Africa nzima worse watu wanaotoka nchi ambazo lugha zao asili yake ni Bantu na Zulu languages in other words kuanzia mipaka ya Kenya, Uganda na Congo: ukishuka chini mpaka South Africa wengi wetu R and L ni kasheshe kwenye English language.
Huu utafiti umeufanya wapi ndugu mtanganyika?
 
Mtakosoa Sana , lkin hizo ni minor case Sana coz hata watz wengi nikiwemo Mimi wazalamo huwa wananikosoa maneno mengi na huwa wananicheka
 
Kwenye hilo la matamshi ya L na R namtetea kwani kwa umri aliofikia hawezi kubadilisha ulimi kutokana na lugha ya mama. Lakini hilo la kushindwa kuongea kiingereza ni mjadala mwingine.
 
Back
Top Bottom