#akili zetu watu weusi#Ukimaliza hapo kamsaidie na Mwenyekiti wa chadema pia ili awe eye contact iliyonyooka!
#akili zetu watu weusi#Ukimaliza hapo kamsaidie na Mwenyekiti wa chadema pia ili awe eye contact iliyonyooka!
wabongo nyoso!kwani kuna R au L wapi kwenye Hostages?
Ukimaliza hapo kamsaidie na Mwenyekiti wa chadema pia ili awe eye contact iliyonyooka!
Huyu ndugu yetu tumsamehe tu!Na font phage
Kwani magogoni hupajui ukawaambie?Hayo ni mengine ya kwako Bro, Mimi nazungumzia hizi herufi mbili, L na R. Naomba wahusika wafanye juu chini wahakikishe anaondokana na hili tatizo kwa manufaa na heshima kwa Nchi yetu.
Ndo hiyo katalist sasa,na conglomesheniKama Kiswahili kinamshinda itakuaje Kwa kiingereza?
Ni wake kwa wale wareefu sana kulikokuwaga jenosaidiK
Kwan Rais n msukuma? Tuanzie hapo
Itakuwa ulitaka kumaanisha slang hapo.Wabongo kuja na vihoja Kama Hivi hatutapiga hatua kwani hata wenye lugha yao hawaongee grammar fasaha au Wabongo mnavutia na silang za akina Obama kweli hamnazo kabisa
Mleta mada kasema Rais anabalidisha herufi R kuwa L na L kuwa R, ila wewe unadai wasukuma hawana herufi R kwenye maneno yao! Ina maana Magufuli siyo msukuma au una maana gani? Kama wasukuma hawatumii herefi R kwenye maneno yao, hizi R yeye anazitoa wapi? Mfano "sorution", "wewe ni mzarendo kweri kweri",mkuu hayo mambo ya kawaida sana, usukumani hizo herufi zinatamkwa the same, kwa maana nyingne msukuma aloiva hatumii kabisa R bali L na pia usukumani kwa kufata mila za kisukuma hakuna majina yenye herufi ya R bali majina yote yenye mlengo huo yanapoandika kisukuma huwa ni L tu...mfano Mayala, Malando, Kabula, Milembe, Magufuli nk, so kwa kisukuma hakuna R bali kuna L..
"mwabheja bhagosha"
Sio hoja, over.Ukimaliza hapo kamsaidie na Mwenyekiti wa chadema pia ili awe eye contact iliyonyooka!
Hata matumizi ya a na h nayo majanga.... Kutuaibisha!!!Wasukuma na watu wa kanda ya ziwa wote hawajui matumizi sahihi ya R na L katika misamiati fasaha ya kiswahili,jiwe bhana anazidi kutuhaibisha waTanganyika
Usukuma usitumike kama excuse. Akina Pascal Mayalla ni wasukuma humu mbona wanaandika vizuri?Wasukuma hawana R wanatumia L kwenye maneno yao mengi
Lugha ya kuandika ni tofauti na kuongea, hata Ph.D ya Kemia, alifanya thesis yake kwa Kiingereza cha kuandika, na akaidefend kwenye jopo la wabobezi na ikapita, lakini mwambie akahutubie kwa Kiingereza...Usukuma usitumike kama excuse. Akina Pascal Mayalla ni wasukuma humu mbona wanaandika vizuri?