Beberu
JF-Expert Member
- Jan 26, 2017
- 3,923
- 7,898
iv kuna aliewah shikiwa bunduki kwenda kukopa hapo....???Jamani heritage financing company limited iliyoko hapa Arusha Tanzania ni shida. Wanapenda riba kubwa, wanapenda kuuza mali za watu,wanapenda makesi mahakamani la kushangaza kupita kiasi mkurugenzi wa kampuni hii ni mlokole. ova
mbna kuna makampuni meng tu yanatoa mkopo si muende huko .....????