Heritage Drinking Water sambazeni huduma zenu maeneo mengi ya Dar es Salaam ili tuone ushindani na ubunifu ukiwepo

Kennedy

JF-Expert Member
Dec 28, 2011
49,015
54,296
Hapa Chuo Kikuu cha Tiba Muhimbili hii kampuni imeweka mtambo wao wa kuchakata maji safi na salama kwa matumizi ya binadamu.

Nililoliona zuri aina ya ujio wao hasa upande wa bei ya hayo maji, ambapo kwa mara ya kwanza ukinunua maji kwa chupa zao unauziwa Tshs 800/=

Baada ya kutumia ukienda kujaza tena ujazo wa litre 1 unalipa Tshs 200/= tu

Upande wa glass zao kwa mara ya kwanza ukinunua ni Tshs 200/=

Unapokuwa na glass ukitaka kuongeza unalipa Tshs 100/=

Kampuni hii huduma zao wangezisambaza maeneo mengi ya jiji la Dar es Salaam

Ili tuone ushindani na ubunifu ukiwepo

Kwa sasa kampuni za kuchakata maji safi ni nyingi sana, zipo ambazo zinakuja zinapotea, zipo ambazo zaendelea kupambana.

Ingawa huduma inatolewa kwa wote pale Muhimbili pia unafuu wa gharama, waweke sehemu nyingi za jiji.

Tunywe maji!
 
Heritage?

Hilo Jina umelihakiki?

Iyo Kampuni na iyo brand iko Moshi.

Kama wana patent basi ujiandae kuishia Kisutu

By the way-Iyo model ina tofauti gani na Dispenser?

Contamination unaicontrol vipi?

Filtration inaanza wapi na inaishia wapi?

Enhe?
 
Wapo Ubungo Mawasiliano Kituoni ndani. UDSM na Magufuli Hostels wameweka izo mashine za Maji naona zina miaka hazijaanza kazi.

Nimepata fununu kwamba watu wamezipiga majungu maana zitaharibu biashara ya maji kabisaaa.

Maji Lita 1 kwa tsh Mia 2 sio mchezo.
 
Bila picha?
20210303_220146.jpg
 
Heritage?

Hilo Jina umelihakiki?

Iyo Kampuni na iyo brand iko Moshi.

Kama wana patent basi ujiandae kuishia Kisutu

By the way-Iyo model ina tofauti gani na Dispenser?

Contamination unaicontrol vipi?

Filtration inaanza wapi na inaishia wapi?

Enhe?
😅😄😃😂😁😀
 
Pale arusha kuna mzee flani yeye kasambaza kwa maeneo mengi sana, nadhani angepata soko la uhakika kama ingekuwa kwa jiji la Dar tofauti na arusha kulingana na hali ya hewa.
 
Pale arusha kuna mzee flani yeye kasambaza kwa maeneo mengi sana, nadhani angepata soko la uhakika kama ingekuwa kwa jiji la Dar tofauti na arusha kulingana na hali ya hewa.
Dar es Salaam Hali Ya Hewa Inaruhusu
 
Back
Top Bottom