Heri ya siku yako ya kuzaliwa Rais Benjamini William Mkapa.

Troll JF

JF-Expert Member
Feb 6, 2015
7,804
12,224
12 Novemba 1938 - Rais Benjamin William Mkapa, anazaliwa Ndanda, Masasi, Tanganyika.

Kiboko ya UKAWA. Tujikumbushe kauli zake Huyu simba wa Vita
 
ila baba yako bado mzima what a miracle
dingi na maza walishanyoosha in their 40s. Walikuwa wanategemea kipato halali na wangeishi maisha marefu tu kama anayetuita lofa kama wangekuwa wadhulumu wa mali za nchi. Kwasabab wangepata matibabu na maisha bora
 
Back
Top Bottom