Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We kajamaa umekuwa MTU wa kwanza hapa jf kumtakia heli ya kuzaliwa mkapa ambaye hata hakufahamu. na wakati huo kijijini kwenu hujui baba yako alizaliwa Mwaka gani.
Kwanini alizaliwa siku kama ya leo?12 Novemba 1938 - Rais Benjamin William Mkapa, anazaliwa Ndanda, Masasi, Tanganyika.
Kiboko ya UKAWA.
Kumbuka Kujipendekeza ni course inayotolewa pale lumumba kwa vijana kama hawa.We kajamaa umekuwa MTU wa kwanza hapa jf kumtakia heli ya kuzaliwa mkapa ambaye hata hakufahamu. na wakati huo kijijini kwenu hujui baba yako alizaliwa Mwaka gani.
Mungu ni watofauti sana yani kuna watoto na vijana wadogo tu wanafariki12 Novemba 1938 - Rais Benjamin William Mkapa, anazaliwa Ndanda, Masasi, Tanganyika.
Kiboko ya UKAWA. Tujikumbushe kauli zake Huyu simba wa Vita
hivi Kiwira yetu vipi?12 Novemba 1938 - Rais Benjamin William Mkapa, anazaliwa Ndanda, Masasi, Tanganyika.
Kiboko ya UKAWA. Tujikumbushe kauli zake Huyu simba wa Vita
sawa Mkenya, tumekusikia!mna kiwira na nani?
Watu walishakaa kimya siku ipite tu.12 Novemba 1938 - Rais Benjamin William Mkapa, anazaliwa Ndanda, Masasi, Tanganyika.
Kiboko ya UKAWA. Tujikumbushe kauli zake Huyu simba wa Vita
dingi na maza walishanyoosha in their 40s. Walikuwa wanategemea kipato halali na wangeishi maisha marefu tu kama anayetuita lofa kama wangekuwa wadhulumu wa mali za nchi. Kwasabab wangepata matibabu na maisha boraila baba yako bado mzima what a miracle
sasa kiboko ya lowasa wakat yuko hoi na kipenzi cha wote afya inazidi kuimarika?Watu walishakaa kimya siku ipite tu.