Afrolink-Tz Consult Ltd
JF-Expert Member
- Feb 25, 2018
- 420
- 939
Habari zenu!
Ewe mfanyakazi na hata ulie jiajiri katika sekta binafsi. Siku kama hii ya leo 01/05 unaitumia kutafakari nini juu ya ufanisil jitihada na juhudi ulizofanya kufikia malengo ya mwajiri wako? Au unawaza kuongezwa mshahara tu?
Nawe uliejiajiri je umefikia malengo yako na uliowaajiri wamekusaidia kufika matarajio?
#Tutafakari
Tuchape kazi!
#KaziIendelee!
Ewe mfanyakazi na hata ulie jiajiri katika sekta binafsi. Siku kama hii ya leo 01/05 unaitumia kutafakari nini juu ya ufanisil jitihada na juhudi ulizofanya kufikia malengo ya mwajiri wako? Au unawaza kuongezwa mshahara tu?
Nawe uliejiajiri je umefikia malengo yako na uliowaajiri wamekusaidia kufika matarajio?
#Tutafakari
Tuchape kazi!
#KaziIendelee!