Heri ya siku ya Baba Duniani 2017 (Happy Fathers Day)

Joseverest

JF-Expert Member
Sep 25, 2013
51,742
68,614
Habari za muda huu wana JF! Natumai mko poa sana..

Leo Jumapili June 18 2017 ni siku ya Baba duniani.

Karibuni tujumuike katika kuwapongeza Baba zetu popote walipo..

Salamu zangu za leo

Baba yangu mzazi popote ulipo nakushukuru sana kwa malezi uliyonipatia hadi leo, umekuwa msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu... Naahidi kukupenda, kukuthamini na kukulinda kadiri niwezavyo..

Kwa wale ndugu zangu ambao Baba zao wametangulia mbele ya haki nipende kuwapa pole na Mungu awape heri na vilevile awarehemu Baba zetu huko walipo..


Tunaotarajia kuwa Baba tujiandae kwa majukumu ya kuitwa Baba..Tusinyanyase familia zetu, tuzipende na tuzithamini kwa ustawi wa jamii..


Wadau karibuni tuonyeshe upendo kwa Baba,Dad, (Dingi) zetu!!


[HASHTAG]#MsimsahauNaMamaPia[/HASHTAG]
[HASHTAG]#HappyFathersDay2017[/HASHTAG]

9567065daff7906af8e581152494b242.jpg


a3278f51fb4282b95ef11d44c94c7017.jpg


a8419f7c72ca4dcb7cb9b429dde9a568.jpg


5499e634d0c29f9954b7d91c1099ff79.jpg
 
hakika najivunia kuwa na BABA
Sijawahi kujuta kuwa mwanawe
asante mshua wewe ndo kamanda wangu mwenyewe wa maisha
mengi ninayokabiliana nayo leo ni muongozo wako mkuu mdingi wangu
NAKUKUBALI KICHIZI YANI WE MWENYEWE UNAELEWA JEMBE LANGU LA TREKTA
 
kuna wengine wangekuwa wanasherehekea siku ya leo
ila wakalazimisha toa toa hiyo sijajiandaa sijui walifikiri ni ngumi hizi
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom