Joseverest
JF-Expert Member
- Sep 25, 2013
- 51,742
- 68,614
Habari za muda huu wana JF! Natumai mko poa sana..
Leo Jumapili June 18 2017 ni siku ya Baba duniani.
Karibuni tujumuike katika kuwapongeza Baba zetu popote walipo..
Salamu zangu za leo
Baba yangu mzazi popote ulipo nakushukuru sana kwa malezi uliyonipatia hadi leo, umekuwa msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu... Naahidi kukupenda, kukuthamini na kukulinda kadiri niwezavyo..
Kwa wale ndugu zangu ambao Baba zao wametangulia mbele ya haki nipende kuwapa pole na Mungu awape heri na vilevile awarehemu Baba zetu huko walipo..
Tunaotarajia kuwa Baba tujiandae kwa majukumu ya kuitwa Baba..Tusinyanyase familia zetu, tuzipende na tuzithamini kwa ustawi wa jamii..
Wadau karibuni tuonyeshe upendo kwa Baba,Dad, (Dingi) zetu!!
[HASHTAG]#MsimsahauNaMamaPia[/HASHTAG]
[HASHTAG]#HappyFathersDay2017[/HASHTAG]
Leo Jumapili June 18 2017 ni siku ya Baba duniani.
Karibuni tujumuike katika kuwapongeza Baba zetu popote walipo..
Salamu zangu za leo
Baba yangu mzazi popote ulipo nakushukuru sana kwa malezi uliyonipatia hadi leo, umekuwa msaada mkubwa sana kwenye maisha yangu... Naahidi kukupenda, kukuthamini na kukulinda kadiri niwezavyo..
Kwa wale ndugu zangu ambao Baba zao wametangulia mbele ya haki nipende kuwapa pole na Mungu awape heri na vilevile awarehemu Baba zetu huko walipo..
Tunaotarajia kuwa Baba tujiandae kwa majukumu ya kuitwa Baba..Tusinyanyase familia zetu, tuzipende na tuzithamini kwa ustawi wa jamii..
Wadau karibuni tuonyeshe upendo kwa Baba,Dad, (Dingi) zetu!!
[HASHTAG]#MsimsahauNaMamaPia[/HASHTAG]
[HASHTAG]#HappyFathersDay2017[/HASHTAG]