Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Kesho ni sikukuu ya Noeli, siku maalum kwa wanadamu hasa kwa wenzetu wenye madhehebu ya kikristu duniani.
Nikiwa muumini wa kuona haki inatendeka kwa kila mwanadamu hasa hapa kwetu Tanzania nawatakia watanzania wenzetu sikukuu njema.
Haswa wale wapenda mageuzi na haki na wanaopinga tawala za kimabavu na kiimra juu ya haki za mwanadamu.
Nawaomba tuzidishe nguvu kupambana na wadhalimu wa haki za binadamu na wasiyopenda kukosolewa.
Wana Chadema, na wale wa vyama vya upinzani wa kweli na wale wa ccm wanaopinga udhalimu wanaotendewa watanzania wenzetu.
Salaam kutoka kwa Mmawia kuelekea mwaka mpya 2023.
Nikiwa muumini wa kuona haki inatendeka kwa kila mwanadamu hasa hapa kwetu Tanzania nawatakia watanzania wenzetu sikukuu njema.
Haswa wale wapenda mageuzi na haki na wanaopinga tawala za kimabavu na kiimra juu ya haki za mwanadamu.
Nawaomba tuzidishe nguvu kupambana na wadhalimu wa haki za binadamu na wasiyopenda kukosolewa.
Wana Chadema, na wale wa vyama vya upinzani wa kweli na wale wa ccm wanaopinga udhalimu wanaotendewa watanzania wenzetu.
Salaam kutoka kwa Mmawia kuelekea mwaka mpya 2023.