Maarifa
JF-Expert Member
- Nov 23, 2006
- 4,568
- 2,903
Ninawatakia heri ya mwaka mpya 2008. I thank you all guys kwa kazi kubwa ya kukosoa, kelimisha na kuhabarisha kupitia JF. I have learned a lot through JF and Hopeful moto huu utazidi kuwaka na watu mtazidi kukemea bila woga. JF imekuwa cheche ya mawazo huria. God bless you all.