mwarabu wa dubai
JF-Expert Member
- Nov 29, 2015
- 317
- 300
Moja kwa moja naomba niende kwenye mada wakuu (me/ke).Leo nimeona kidogo niweke wazi suala la single mother's katika relation ship hasa kwa wale wanaotaka kuoa but excuse me I stand to be collected and not insulted. Direct let us move to the point (s) hereinbelow:-
1/ Single mother's hawatakiwi kuolewa na mwanaume yeyote yule kwa sababu ataenda kuchanganya damu za watoto mfano alizalishwa na mwanaume mchawi so anakuletea damu ya kichawi katika familia yako.
2/Single mother's hawana mapenzi ya kweli coz walipotoka wameumizwa so fanya eat and run kama atajipendekeza kwako.
3/Single mother's wengi walizaa kwa bahati mbaya na huwa wanajutia sana hii situation so wengi ni parasites for 100%.
4/Single mother's hawana mapenzi ya kweli wengi ni waongo waongo sana na wanacholenga wao ni maslahi ya matoto yao binafsi.
5/Single mother's kwenye baadhi ya familia huwa hawakubaliki for any more,this means that kuwa single mother ni mkosi mkubwa sana hasa katika jamii nayotokea mimi.
5/Single mother's wengi ni watu wa kujutia kwanini walizaa na fulani,kwanini alikatisha masomo kwa ajili ya fulani so wengi wana msongo wa mawazo hasa katika majukumu ya kulea mtoto.
6/Single mother's wengi ni wadhaifu sana huna haja ya kutongoza we lipende tu toto lake ........hahaha hapo atakupa kila kitu.
MY TAKE:-KIJANA MWENZANGU USIJE UKADHUBUTU KUOA SINGLE MOTHER UTAKUJA KUJUTA NA KUSAGA MENO!!MWANAMKE WA KUOA NI YULE AMBAYE HAJAZAA AU IKIBIDI OA BIKRA KABISA ILA SIO SINGLE MOTHER'S.
I STAND TO BE COLLECTED AND NOT INSULTED.
1/ Single mother's hawatakiwi kuolewa na mwanaume yeyote yule kwa sababu ataenda kuchanganya damu za watoto mfano alizalishwa na mwanaume mchawi so anakuletea damu ya kichawi katika familia yako.
2/Single mother's hawana mapenzi ya kweli coz walipotoka wameumizwa so fanya eat and run kama atajipendekeza kwako.
3/Single mother's wengi walizaa kwa bahati mbaya na huwa wanajutia sana hii situation so wengi ni parasites for 100%.
4/Single mother's hawana mapenzi ya kweli wengi ni waongo waongo sana na wanacholenga wao ni maslahi ya matoto yao binafsi.
5/Single mother's kwenye baadhi ya familia huwa hawakubaliki for any more,this means that kuwa single mother ni mkosi mkubwa sana hasa katika jamii nayotokea mimi.
5/Single mother's wengi ni watu wa kujutia kwanini walizaa na fulani,kwanini alikatisha masomo kwa ajili ya fulani so wengi wana msongo wa mawazo hasa katika majukumu ya kulea mtoto.
6/Single mother's wengi ni wadhaifu sana huna haja ya kutongoza we lipende tu toto lake ........hahaha hapo atakupa kila kitu.
MY TAKE:-KIJANA MWENZANGU USIJE UKADHUBUTU KUOA SINGLE MOTHER UTAKUJA KUJUTA NA KUSAGA MENO!!MWANAMKE WA KUOA NI YULE AMBAYE HAJAZAA AU IKIBIDI OA BIKRA KABISA ILA SIO SINGLE MOTHER'S.
I STAND TO BE COLLECTED AND NOT INSULTED.