Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Amani Ya Bwana Iwe Nanyi Wapendwa.
Nichukue Fursa Hii Kumtakia Na Kumpongeza Sana Rais Wetu Mzalendo Dr John Magufuli Katika Kusherekekea Siku Yake Ya Kuzaliwa.
Mungu Wetu Azidi Kukupa Ulinzi,Hekima,Moyo,Nguvu Na Ari Zaidi Ili Uendeleze Mapambano Ya Kulinda Rasilimali Za Nchi Yetu.Tutaendelea Kupaza Sauti Zetu Tukikemea Wala Rushwa,Mafisadi,Wasaliti,Wahujumu Uchumi Na Wote Wanaotaka Kuturudisha Nyuma.
Happy Birthday To You
Our Dear President.
Boniphace.N.Kichonge.
Kada Mzalendo.
Arusha
2017/10/29
Historia Fupi Ya Rais Wetu Wakati Tukisherekea Siku Yake Ya Kuzaliwa:-
1) Elimu
-Shahada Uzamivu ( 2006-200) UDSM
-Shahada Uzamili (1991-1994) UDSM
- Shahada Ya Kwanza Ya Elimu Kemia Na Hisabati (1985-1988)
- Stashahada Kemia Na Hisabati (1981-1982)
2) Kazi:-
-Mwalimu Wa Kemia Na Hisabati ( Sengerema Sekondari (1982-1983)
- Mkemia Chama Cha Ushirika Nyanza (1983-1985)
3) Siasa
-Mbunge Wa Kuchaguliwa Kwa Kura Nyingi Biharamulo Mashariki (1995-2015)
-Unaibu Waziri- Ujenzi ( 2000-2005)
-Waziri
- Ardhi (2005-2008)
- Maendeleo Ya Mifugo Na Samaki (2008-2010)
-Ujenzi (2010-2015).
4) Tarehe Muhimu
- Kuchaguliwa Mgombea Urais Wa CCM (12/07/2015)
-Kutangazwa Na NEC Kuwa Rais Wa Awanu Ya Tano ( 29/10/2015)
- Idadi Ya Kura 58.46%
-Kuapishwa Rasmi (5/11/2015)
- Kuteua Baraza La Mawaziri ( 10/12/2015) Baraza Lenye Jumla Ya Mawaziri 34.
Karibuni.
Nichukue Fursa Hii Kumtakia Na Kumpongeza Sana Rais Wetu Mzalendo Dr John Magufuli Katika Kusherekekea Siku Yake Ya Kuzaliwa.
Mungu Wetu Azidi Kukupa Ulinzi,Hekima,Moyo,Nguvu Na Ari Zaidi Ili Uendeleze Mapambano Ya Kulinda Rasilimali Za Nchi Yetu.Tutaendelea Kupaza Sauti Zetu Tukikemea Wala Rushwa,Mafisadi,Wasaliti,Wahujumu Uchumi Na Wote Wanaotaka Kuturudisha Nyuma.
Happy Birthday To You
Our Dear President.
Boniphace.N.Kichonge.
Kada Mzalendo.
Arusha
2017/10/29
Historia Fupi Ya Rais Wetu Wakati Tukisherekea Siku Yake Ya Kuzaliwa:-
1) Elimu
-Shahada Uzamivu ( 2006-200) UDSM
-Shahada Uzamili (1991-1994) UDSM
- Shahada Ya Kwanza Ya Elimu Kemia Na Hisabati (1985-1988)
- Stashahada Kemia Na Hisabati (1981-1982)
2) Kazi:-
-Mwalimu Wa Kemia Na Hisabati ( Sengerema Sekondari (1982-1983)
- Mkemia Chama Cha Ushirika Nyanza (1983-1985)
3) Siasa
-Mbunge Wa Kuchaguliwa Kwa Kura Nyingi Biharamulo Mashariki (1995-2015)
-Unaibu Waziri- Ujenzi ( 2000-2005)
-Waziri
- Ardhi (2005-2008)
- Maendeleo Ya Mifugo Na Samaki (2008-2010)
-Ujenzi (2010-2015).
4) Tarehe Muhimu
- Kuchaguliwa Mgombea Urais Wa CCM (12/07/2015)
-Kutangazwa Na NEC Kuwa Rais Wa Awanu Ya Tano ( 29/10/2015)
- Idadi Ya Kura 58.46%
-Kuapishwa Rasmi (5/11/2015)
- Kuteua Baraza La Mawaziri ( 10/12/2015) Baraza Lenye Jumla Ya Mawaziri 34.
Karibuni.