mkurya org.
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 1,571
- 1,691
Hivi Lizabon kapotelea wapi jamani ??
Unatafuta kiki huna lolote moyo unakusuta unaumia maumivu anayokupa ila utafanyejeNiwe mwana JF wa kwanza kukutakia heri ya siku ya kuzaliwa.Na nikuombee maisha marefu na afya Tele ili uendelee na jukumu zito la kurejesha misingi ya Taifa la Tanzania.
Happy birthday C in C.
Miaka 57 iliyopita anazaliwa rais wa JMT,ndugu John Pombe Magufuli.
Vyombo kadhaa vya habari vya kimataifa vinamtaja kama almasi iliyo mchangani.Ni nadra sana kupata almasi(rais mzuri) kutoka mchangani (Afrika)
Tanzania president John Magufuli discloses his salary on TV | Africanews
kutoka jarida maarufu la wanazuoni wa Kiafrika (African Argument)-Tanzania: Magufuli’s mining reforms are a masterclass in political manoeuvring - African Arguments
Kutoka Reuters-Tanzania's Magufuli rejects calls to extend rule beyond two-term limit
Kutoka gazeti la kiengereza la Herald-Magufuli takes Canadian mining giant head-on | The Herald
Kutoka nyumbani hapa (The Citizen)-President Magufuli launches modern railway project
Dubwasha watumishi hewa lilivyokomeshwa ndani ya miaka miwili pekee -Rais Dkt Magufuli awapa siku 15 Wakuu wa Mikoa kuwaondoa watumishi hewa walio katika orodha ya malipo ya mishahara ya... | Magazeti ya leo| Tanzania News |Tanzania Today
To be continued .
Huyu ni mwanafamilia wetu wote kama watanzania...hiyo ni kikatiba zaidiHatuhusu ni ya kifamilia zaidi.
Usione aibu kujiunga na Team ya ushindi.sikukutuma uwe mzungusha mikonoUnatafuta kiki huna lolote moyo unakusuta unaumia maumivu anayokupa pombewako ila utafanyeje
Matusi hayapeleki mtu Ikulu...bali ustaarabu na hoja za msingi.Upumbavu mtupu hayo mambo na huo upuuzi pelekeni Lumumba kwenu
Alianza mkapa pale jangwani kutukana watanzaniaMatusi hayapeleki mtu Ikulu...bali ustaarabu na hoja za msingi.
C i CView attachment 619686 Enjoy your day Mr. President
Hahahahaa... Mkuu wazungu wamemtwanga JPM tusi. Dinosaur ni jinamizi la mifupa, mabaki au mayai ya myama mkubwa wa zama za kale ambapo tafsiri yake ni mtu wa kale anayejaribu kujirudisha duniani lakini ameshindwa kukabiliana na hali zinazobadilika.Dinosaur hili jipya silijui lina maana gani nimelizoea Dictator uchwara