Salahan
JF-Expert Member
- Sep 10, 2014
- 2,942
- 3,606
Unaifahamu Periodic Table ile inayotumika kutaja elements kwenye somo la Kemia!!? Kama unaifahamu, sasa aliyeibuni anaitwa Dmitri Mendeleev, ambaye ni raia wa Urusi.
Alizaliwa tarehe kama ya leo, Februari 8, 1834 huko Urusi.
Neno moja kwake kwa uvumbuzi wake.
Alizaliwa tarehe kama ya leo, Februari 8, 1834 huko Urusi.
Neno moja kwake kwa uvumbuzi wake.