OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 48,787
- 102,164
Leo tuna sheherekea siku ya nchi yetu ilipo pata Uhuru kutoka kwa wakoloni (Waingereza)
Siku hii ni muhimu sana kwa watanzania kwani ni siku iliyo tupa uhueu wa kujitawala wenyewe kama nchi tukiwa na mamlaka kamili ya kujiongoza. Niliwahi kusimuliwa na mama yangu ni kwa jinsi gani wananchi walivyo kumbwa na furaha isiyo elezeka pale walipo tangaziwa kwamba sasa wapo huru katika nchi yao, hakika ilikuwa ni furaha ya ushindi.
Lakini pia tarehe kama ya leo ya Uhuru wa nchi, Alibatizwa mtu muhimu sana kwa nchi, kwa wananchi na kwa siasa za upinzani na demokrasia. Mtu huyu alibatizwa na kuitwa Mtu Huru (Freeman) ambaye amekuja kuwa kielelezo bora cha siasa za ushindani, asiye tetereka, asiye yumbishwa na kudanganywa na peremende za vyeo na fedha. Hakika ame simamia jina lake na ame ishi kwa kuwa huru kwa maoni, mtazamo, fikra na matendo. Yeye ndiyo nguzo ya upinzani, yeye ndiye aliye jenga Chadema yenye falsafa na misingi inayo kuwa. Ipo siku Tanzania ita simama na kukuita KAKA WA TAIFA.
HAPPY DAY Tanzania, HAPPY DAY Freeman.
Siku hii ni muhimu sana kwa watanzania kwani ni siku iliyo tupa uhueu wa kujitawala wenyewe kama nchi tukiwa na mamlaka kamili ya kujiongoza. Niliwahi kusimuliwa na mama yangu ni kwa jinsi gani wananchi walivyo kumbwa na furaha isiyo elezeka pale walipo tangaziwa kwamba sasa wapo huru katika nchi yao, hakika ilikuwa ni furaha ya ushindi.
Lakini pia tarehe kama ya leo ya Uhuru wa nchi, Alibatizwa mtu muhimu sana kwa nchi, kwa wananchi na kwa siasa za upinzani na demokrasia. Mtu huyu alibatizwa na kuitwa Mtu Huru (Freeman) ambaye amekuja kuwa kielelezo bora cha siasa za ushindani, asiye tetereka, asiye yumbishwa na kudanganywa na peremende za vyeo na fedha. Hakika ame simamia jina lake na ame ishi kwa kuwa huru kwa maoni, mtazamo, fikra na matendo. Yeye ndiyo nguzo ya upinzani, yeye ndiye aliye jenga Chadema yenye falsafa na misingi inayo kuwa. Ipo siku Tanzania ita simama na kukuita KAKA WA TAIFA.
HAPPY DAY Tanzania, HAPPY DAY Freeman.