Habari wana JF na Watanzania..
Siku kama ya leo mnamo tarehe 15 January 1929, alizaliwa mpambanaji wa haki za binadamu na mpinga ubaguzi wa rangi mmarekani mweusi Hayati Dr. Martin Luther King.
Alikufa tarehe 04 April 1968.
Ana historia ndefu na ni mmarekani mweusi aliyeacha "alama/legacy" kubwa sana ktk mapambano ya haki za binadamu.
Mimi namuona alikuwa na vipawa/vipaji vingi; mwanafalsa, mwanaharakati, n.k.
Nikushangaze kidogo....
Ukihesabu miaka hapo utaona aliishi kwa miaka 39 tu hadi kufariki.
Tuamini kwamba hakika tunayo nguvu na amini utafanikiwa ktk harakati zako na kufikia malengo.
Yeyote anayemjua zaidi au kwa lolote karibu useme hapa kumhusu huyu Legendary..
1. Elimu yake...
2. Ushupavu na uthubutu
3. Harakati...
4. U great thinker
5. Falsafa
6. Alianza lini harakati...
7. Vikwazo alivyowahi kukumbana navyo..
8. Na maisha yake mengine
...
Karibu..
Siku kama ya leo mnamo tarehe 15 January 1929, alizaliwa mpambanaji wa haki za binadamu na mpinga ubaguzi wa rangi mmarekani mweusi Hayati Dr. Martin Luther King.
Alikufa tarehe 04 April 1968.
Ana historia ndefu na ni mmarekani mweusi aliyeacha "alama/legacy" kubwa sana ktk mapambano ya haki za binadamu.
Mimi namuona alikuwa na vipawa/vipaji vingi; mwanafalsa, mwanaharakati, n.k.
Nikushangaze kidogo....
Ukihesabu miaka hapo utaona aliishi kwa miaka 39 tu hadi kufariki.
Tuamini kwamba hakika tunayo nguvu na amini utafanikiwa ktk harakati zako na kufikia malengo.
Yeyote anayemjua zaidi au kwa lolote karibu useme hapa kumhusu huyu Legendary..
1. Elimu yake...
2. Ushupavu na uthubutu
3. Harakati...
4. U great thinker
5. Falsafa
6. Alianza lini harakati...
7. Vikwazo alivyowahi kukumbana navyo..
8. Na maisha yake mengine
...
Karibu..