Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,641
Heshima kwenu ndugu zangu katika mtazamo wa mabadiliko na mageuzi ya nchi yetu
Mchongo wetu nyuma ya keyboard ni mkubwa sana tumeweza kujenga hoja na kuwasambatarisha wapinzan wetu wa kifkra na mawazo ambao wao uhafidhina bado ni chaguo lao
Kizazi cha kina Lema, mnyika, Ben saanane, mdee, mtatiro, kafulila na wengine walishahamia kwenye majukwaa halisi ila naamini tunawawakilisha vema maana hatuwapi nafas watesi wetu kushikilia mjadala
Ushirikiano wetu, humu ndivyo ulivyo kwenye maisha halisi huko mtaani
Mwaka huu tuliwazidi kila kitu wapinzani wetu, pamoja na kuwa wanaingizo jipya pale magogoni, ambaye grafu yake ya kukubalika imepukutika sana kuanzia kipind cha bunge la bajeti
Mimi naamini vuguvugu letu la mitandaoni linachangia karibu nusu ya harakat za upinzani nchini
Niwapongeza pia viongozi wakuu wa chama wakiongozwa na freeman mbowe, maalimu seif, tundu lissu, mbatia, lowasa, vicent na viongozi wote wakuu wa vyama
Tuendelee pia kumuombea ndugu yetu, apatikane akiwa salama, yale tuyofikiria kichwani yasiwe ya kweli, God can save him
Pia tusimsahau brother Lema huko ndani kwasababu anawakilisha mitazamo harakat zetu za kila siku
Mao Zedong
Aliwahi kusema
POLITICS IS WAR WITHOUT BLOODSHED WHILE WAR IS POLITICS WITH bloodshed
Nawatakiwa heri. Ya kirismas na mwaka mpya nikiwa napaki vizur begi langu kwenda kijijin kumwona bibi yangu kipenzi
Nitarudi humu January panapo uzima
Mungu awabariki wote hata wapinzan wetu katika mabadiliko
Mchongo wetu nyuma ya keyboard ni mkubwa sana tumeweza kujenga hoja na kuwasambatarisha wapinzan wetu wa kifkra na mawazo ambao wao uhafidhina bado ni chaguo lao
Kizazi cha kina Lema, mnyika, Ben saanane, mdee, mtatiro, kafulila na wengine walishahamia kwenye majukwaa halisi ila naamini tunawawakilisha vema maana hatuwapi nafas watesi wetu kushikilia mjadala
Ushirikiano wetu, humu ndivyo ulivyo kwenye maisha halisi huko mtaani
Mwaka huu tuliwazidi kila kitu wapinzani wetu, pamoja na kuwa wanaingizo jipya pale magogoni, ambaye grafu yake ya kukubalika imepukutika sana kuanzia kipind cha bunge la bajeti
Mimi naamini vuguvugu letu la mitandaoni linachangia karibu nusu ya harakat za upinzani nchini
Niwapongeza pia viongozi wakuu wa chama wakiongozwa na freeman mbowe, maalimu seif, tundu lissu, mbatia, lowasa, vicent na viongozi wote wakuu wa vyama
Tuendelee pia kumuombea ndugu yetu, apatikane akiwa salama, yale tuyofikiria kichwani yasiwe ya kweli, God can save him
Pia tusimsahau brother Lema huko ndani kwasababu anawakilisha mitazamo harakat zetu za kila siku
Mao Zedong
Aliwahi kusema
POLITICS IS WAR WITHOUT BLOODSHED WHILE WAR IS POLITICS WITH bloodshed
Nawatakiwa heri. Ya kirismas na mwaka mpya nikiwa napaki vizur begi langu kwenda kijijin kumwona bibi yangu kipenzi
Nitarudi humu January panapo uzima
Mungu awabariki wote hata wapinzan wetu katika mabadiliko