Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,316
- 33,112
Mkuu Himidini Pamoja na ulivyosema Mapenzi ya Pesa hayadumu na sio mapenzi kabisa. Ukubali au ukatae.^^
MziziMkavu
Kuna jambo umenifumbua nitalifanyia kazi.
Lakini vipi hapo pa mapenzi asili yake moyoni,,huoni uasili huo unatiwa giza sasa na pesa?
^^
Last edited by a moderator: