Napenda kumshukuru Mwenye Enzi Mungu Wetu kwa ajili ya Tanzania yetu, viongozi wake na wananchi wote kwa Upendo kwa Taifa letu. Namuomba Mungu wetu atuongoze tena mwaka tunaoutazamia 2021 atufanye watu wake atuvushe salama, AMEN.