MSELA WA MANZESE
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,605
- 2,000
Kuna sehemu kulikuwa kuna mjadala mkubwa tulikuwa tunazungumzia suala la kuoa tukawa tunangalia aina mbili za familia faida na hasara.
Mwanaume kuoa familia ya kitajiri ambayo imewazidi kwenu uwezo na kuoa familia maskini wapi kuna afadhali?
Mwanaume kuoa familia ya kitajiri ambayo imewazidi kwenu uwezo na kuoa familia maskini wapi kuna afadhali?