Heri kuishi kwenye paa la nyumba kuliko mke mgomvi!!mith 21:9

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,872
21,950
Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.
(Mithali 21:9)
 
so ukwiru ukikuapata huko juu je???mana ukikupatia ndani ya nyumba waweza piga kitu cha make up sex
 
Umenikumbuasha mbali mjomba wangu mmoja bahati mbaya ameachana na mkewe alisema alifikia akiamka asbh anachukua pepsi na kunawa uso akihisi yale maji ndio yanafanya kutokuwa na amani nyumbani...mungu awape nguvu mnaopitia wakati huu mgumu mzito kwenye ndoa kuliko kufiwa
 
PROVERBS;21:9
Better to dwell in a corner of a housetop,than in a house shared with a contentious woman.
yaani nmeipenda sana mkuu.hii ni dedication tosha kwa walengwa.
wewe una akili sana.mia
 
Figganigga
ahsante ila wewe unayo zaidi nilishasahau kuna wachina wanasomaga hii jf thanks again
khoug shou shine
ikazu iwacu
 
mhh pdidy hapa watulisha kasa hiki sio kichina wajamini shou shine tena
mada yako nzuri ila maana halisi ya mithali hii twaweza sema ni bora kuchukua muda wako mwingi kumtukuza mungu na kufanya matendo mema kuliko kupoteza muda wako mwingi kushindana na mambo ya kidunia kama mali na tamaa nyinginezo ambazo husababisha tamaa, kuuana,wivu nk .tukimaanisha kukaa kwenye kona ya nyumba huyo mwananke anaweza kukupigia kelele hata huko juu ya paa au kwenye kizingiti cha nyumba.

Figganigga
ahsante ila wewe unayo zaidi nilishasahau kuna wachina wanasomaga hii jf thanks again
khoug shou shine
ikazu iwacu
 
<b><a href="http://mbilinyi.blogspot.com/2009/11/ni-afadhali.html" target="_blank">Ni Afadhali!</a></b><br />
<br />
<br />
<br />
<div style="text-align: center;"><a href="http://3.bp.blogspot.com/_Uf3wKuI_75k/Sw2_ofK-CuI/AAAAAAAACV0/qfsP0saYn64/s1600/roof.bmp" target="_blank"><img src="http://3.bp.blogspot.com/_Uf3wKuI_75k/Sw2_ofK-CuI/AAAAAAAACV0/qfsP0saYn64/s320/roof.bmp" border="0" alt="" /></a> <b><font color="#000000"><font size="4">Ni afadhali kuishi pembeni mwa paa la nyumba kuliko kuishi nyumba moja na mke mgomvi.<br />
</font></font></b><i>(Mithali 21:9)<br />
</i><br />
<br />
</div>
<br />
<br />
Ni heri sana. Bible yatufariji ktk mengi sana!
 
Back
Top Bottom