Kinkunti El Perdedo
JF-Expert Member
- Nov 28, 2020
- 4,476
- 11,026
Anasubili teuziHapana, angalau tuna nafasi ya kusema ukweli
Anasubili teuziHapana, angalau tuna nafasi ya kusema ukweli
My thinking ni kuwa atafuata mkondo wa Polepole na Bashiru!Anasubili teuzi
Alijitoa sana kipindi cha kayafa ila niliwahi msikia DW nikashangaa mawazo Yale alitoa wapiMy thinking ni kuwa atafuata mkondo wa Polepole na Bashiru!
Kuwaacha hawa bila kuwagusa wakati huu ni kuhalalisha uovu katika jamii.Da. Kweli madaraka ni kitu cha ajabu. Mwezi wa pili mwaka huu watu kama hawa walikuwa wanaonekana kama miungu watu. Walikuwa ''wanaabudiwa'' na walamba viatu kila wanakokwenda. Kila nikifikiria watu waliopita kwenye situation kama hizi eg Ridhiwani, Makonda na huyu huwa nasema madaraka yanafanya mtu aone kama hatakufa.
HakikaDa. Kweli madaraka ni kitu cha ajabu. Mwezi wa pili mwaka huu watu kama hawa walikuwa wanaonekana kama miungu watu. Walikuwa ''wanaabudiwa'' na walamba viatu kila wanakokwenda. Kila nikifikiria watu waliopita kwenye situation kama hizi eg Ridhiwani, Makonda na huyu huwa nasema madaraka yanafanya mtu aone kama hatakufa.