Heri hii forum ya 'Malove Malove'. Big up!

Kashaijabutege

JF-Expert Member
Oct 20, 2010
2,696
740
Jamani kwenye forum za Jukwaa la Siasa na Uchaguzi 2010 watu wanaparurana. Kumejaa udini, siasa za maji machafu, n.k. Yaani nafikiri watazivunja hata computer zao!

Yaani forum hii raha tupu. Mie baada ya kuhama kwenye forum hizo mbili, nimeongezeka uzito kilo mbili. Halafu mke wangu (my wife) ananisifu kuwa siku hizi nimekuwa mme mwema ghafla.
 
Jamani kwenye forum za Jukwaa la Siasa na Uchaguzi 2010 watu wanaparurana. Kumejaa udini, siasa za maji machafu, n.k. Yaani nafikiri watazivunja hata computer zao!

Yaani forum hii raha tupu. Mie baada ya kuhama kwenye forum hizo mbili, nimeongezeka uzito kilo mbili. Halafu mke wangu (my wife) ananisifu kuwa siku hizi nimekuwa mme mwema ghafla.


Mh,sio wewe uliyekuwa unatafuta wachunaji humu,vipi umeshawapata?
 
Bora jukwaa la MMU linaleta positive changes ndani ya mwili wako na ndani ya nyumba yako.....endelea kufaidi MMU
 
Jamani kwenye forum za Jukwaa la Siasa na Uchaguzi 2010 watu wanaparurana. Kumejaa udini, siasa za maji machafu, n.k. Yaani nafikiri watazivunja hata computer zao!

Yaani forum hii raha tupu. Mie baada ya kuhama kwenye forum hizo mbili, nimeongezeka uzito kilo mbili. Halafu mke wangu (my wife) ananisifu kuwa siku hizi nimekuwa mme mwema ghafla.

teh teh utakuwa mhaya tu wewe....:teeth:
 
jaribu kuwaambia wale wa kule kwenye siasa mkutane kuongea mustakabali wa nchi au waambie wale wa kwenye dini mkutane kwa ajili ya maombi uone.....lakini hapa MMU watu tunakula bata bana.....wacha kabisa........he he he....hapo tar 27/12 sijui itakuwaje.......karibu lakini
 
jaribu kuwaambia wale wa kule kwenye siasa mkutane kuongea mustakabali wa nchi au waambie wale wa kwenye dini mkutane kwa ajili ya maombi uone.....lakini hapa MMU watu tunakula bata bana.....wacha kabisa........he he he....hapo tar 27/12 sijui itakuwaje.......karibu lakini

Mmmmmmmmmmhhh?????!!!!!!!!!!!!!
 
jaribu kuwaambia wale wa kule kwenye siasa mkutane kuongea mustakabali wa nchi au waambie wale wa kwenye dini mkutane kwa ajili ya maombi uone.....lakini hapa MMU watu tunakula bata bana.....wacha kabisa........he he he....hapo tar 27/12 sijui itakuwaje.......karibu lakini

Sidai tukulu :whoo::whoo:
 
Mambo ya Kikubwa hakuna longo longo. Pictures speak louder than mere politics!
 
Jamani kwenye forum za Jukwaa la Siasa na Uchaguzi 2010 watu wanaparurana. Kumejaa udini, siasa za maji machafu, n.k. Yaani nafikiri watazivunja hata computer zao!

Yaani forum hii raha tupu. Mie baada ya kuhama kwenye forum hizo mbili, nimeongezeka uzito kilo mbili. Halafu mke wangu (my wife) ananisifu kuwa siku hizi nimekuwa mme mwema ghafla.

Ha ha ha Kashaija bwana umenifurahisha kweli umeongezeka uzito?? Ukiingia humu lazima ukomae na ubadili mwenendo kuna kitchen party, bachelor party na kila kitu humu utajifunza kutokana na makosa na mawazo ya humu MMU
 
Back
Top Bottom