Here I come

The FaMa

Senior Member
Oct 6, 2011
125
27
Habari zenuuu, hodi hodi waungwana. Naombeni mnipokee humu Jamvini. Nimeamua kuwa member badala ya kuwa guest user kila siku. Ahsanteni.
 
Habari zenuuu, hodi hodi waungwana. Naombeni mnipokee humu Jamvini. Nimeamua kuwa member badala ya kuwa guest user kila siku. Ahsanteni.

Karibu sana Faudhia Massawe. Vipi una undugu na Kanali Fabian Massawe au majina tu? Anyways mi naitwa Mwita Chacha Werema na unapozungumzia watu 3 maarufu sana JF huwezi ukathubutu kuacha kulitaja jina langu.
 
Karibu sana Faudhia Massawe. Vipi una undugu na Kanali Fabian Massawe au majina tu? Anyways mi naitwa Mwita Chacha Werema na unapozungumzia watu 3 maarufu sana JF huwezi ukathubutu kuacha kulitaja jina langu.

Dah, Mwita25, umejitahidi, lakini ni neither of the two....ni jina lisilokifupi cha majina/maneno yoyote. Nashukuru sana kunikaribisha.
 
Dah, Mwita25, umejitahidi, lakini ni neither of the two....ni jina lisilokifupi cha majina/maneno yoyote. Nashukuru sana kunikaribisha.

nilikuwa nakuchagiza tu mkuu, si unajua tena sisi ndiyo wazee wa jamvi wengine wote wananifuatia kwa nyuma
 
the grate, Ulimakafu, Figganigga na valid statement ahsanteni sana Wakuu kwa kunikaribisha. Actually nilikuwa nikiingia jamvini kama 'guest user' kwa muda mrefu tu, nikaona nakosa fursa ya ku-share uzoefu na wanajamvi, ndio nikaamua kujiunga. Nawashukuruni sana kwa ukarimu wenu. JF is the nice place to be.
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom