Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Hakika Chadema mmeishiwa sasa mnahamia kwa Joyce, mke wa kamanda!!......mambo binafsi mngeyaacha!
povu la nini kwani hapo kuna ubinafsi gani?Hakika Chadema mmeishiwa sasa mnahamia kwa Joyce, mke wa kamanda!!......mambo binafsi mngeyaacha!
kweli ccm imekua nyumba ya kuropoka kwanzia babu mpaka wajuku kilewo ni mchaga?Naona wachaga mumepamba Moto Mara Kileo asema,Askofu shoo asema,Komu asema,Ndosi asema, mbowe asema,Malisa asema nk wote wanasema dhidi ya serikali haya weeeee
je sisonje ndio jiwe na jiwe ndio malaika mkuu?Sasa haya maneno ana mwambia Joyce Kiria au nani?
chadema hapa ni nani?Hakika Chadema mmeishiwa sasa mnahamia kwa Joyce, mke wa kamanda!!......mambo binafsi mngeyaacha!
Acha ujinga mkuu, inamaana hujaelewa hapa alikuwa akimlenga nani?Sasa haya maneno ana mwambia Joyce Kiria au nani?
wewe ndio mke wa Kilewo sikuhizi?Kilewo kwanini una wahusisha makamnda kwenye ugomvi na mkeo?
Mlipeni mshahara kamanda Kileo aweze kutunza familia yake!povu la nini kwani hapo kuna ubinafsi gani?
Mange ni muha!Saccoss ya wachaga + mpare mmoja(mange)
Sugu, msigwa, bulaya, heche, Prof. J, Prof. Safari nao ni wachaga+ wapare? Jerry Muro, Agrey Mwanri, Prof Maghembe ni kabila gani na wako chama gani? Ccm mnapenda sana kuhamasisha udini na ukabila! Enzi zile Cuf ikiwa na nguvu mliwakomalia na ishu ya udini, baada ya kumnunua Lipumba mmeachana nao na kuwageukia Chadema! Acheni hizo, sisi sote ni ndugu bhana!Saccoss ya wachaga + mpare mmoja(mange)
bora kuliko saccoss ya waizi wa Tril 1.5 na Tril 1.9Saccoss ya wachaga + mpare mmoja(mange)
Kwenye tamaduni za kiafrika mwanaume alieshindwa na mkewe ni kama katoto kakiume ambacho bado hakajatair..wa.