kidadari
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 8,647
- 9,574
Habari Wanabodi, Week iliyipita nilifika ofisi za bodi yamikopo kwa elimu ya juu kuangalia deni langi limefika kiasi gani nikakuta limefika milioni 11+ kutoka kutoka milioni 7+ wakati namaliza chuo.
Baada ya maongezi wakanishauri hata kama sina kazi niwalipe hata laki 1 kwenye acc ya Board ili kuonyeha nina nia ya kulipa na riba haitaongezeka tena deni litabaki pale pale !
Je, kuna ukweli wowote katika hili, kama nimewapa na vielelezo kua sijaajiriwa na sina kipata cha kueleweka wanaweza kusitisha riba kwa kuwalipa laki 1 isiyo na mwendelezo ?
Baada ya maongezi wakanishauri hata kama sina kazi niwalipe hata laki 1 kwenye acc ya Board ili kuonyeha nina nia ya kulipa na riba haitaongezeka tena deni litabaki pale pale !
Je, kuna ukweli wowote katika hili, kama nimewapa na vielelezo kua sijaajiriwa na sina kipata cha kueleweka wanaweza kusitisha riba kwa kuwalipa laki 1 isiyo na mwendelezo ?