Helsb jaribuni kuwaonea huruma watoto wa wanyonge.

Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,546
2,989
Wanajamvi natumai mkopoa

NI wiki 3 sasa. Toka vyuo vikuu vifunguliwe majina ya wanufaika wa mkopo tayari baadhi yamefikishwa na wengine tayari wameshapokea mkopo lakin Cha kushangaza Kuna asilimia kubwa ya wanafunzi kutoka vyuo tofauti hawajapokea fedha zao Wala majina yao hayajaoneka kabisaa,bila ya kuletwa taarifa yoyote ile vyuoni then tunamuona waziri wa elimu Prof Ndalichako akiongelea swala la udanganyifu kwa wanafunzi wanufaika wa mkopo hi Ina maana gani?je mnataka kutuaminisha kuwa waliokosa mkopo ni wadanganyifu au mpo kwenye kupitia mchakato wa kutuibisha majina?

Tafadhali Sana helsb jaribuni kutenda haki kwa kila mtu pesa zifikishwe kwa wakati kwa kila mnufaika na isiwe Kama ilivyosasa as you know maisha ya sasa ni magumu mno je mnataka mtoto wa mkulima akajiuze?je mnataka mtoto wa mvuvi ajiingize kwenye kazi za unyang'anyi?

Ifike wakati tuwajibike kwa makosa ambayo tunayatengeneza wenyewe.
 
Wanajamvi natumai mkopoa

NI wiki 3 sasa. Toka vyuo vikuu vifunguliwe majina ya wanufaika wa mkopo tayari baadhi yamefikishwa na wengine tayari wameshapokea mkopo lakin Cha kushangaza Kuna asilimia kubwa ya wanafunzi kutoka vyuo tofauti hawajapokea fedha zao,bila ya kuletwa taarifa yoyote ile vyuoni then Jana tunamuona waziri wa elimu Prof Ndalichako akiongelea swala la udanganyifu kwa wanafunzi wanufaika wa mkopo hi Ina maana gani?je mnataka kutuaminisha kuwa waliokosa mkopo ni wadanganyifu au mpo kwenye kupitia mchakato wa kutuibisha majina?

Tafadhali Sana helsb jaribuni kutenda haki kwa kila mtu pesa zifikishwe kwa wakati kwa kila mnufaika na isiwe Kama ilivyosasa as you know maisha ya sasa ni magumu mno je mnataka mtoto wa mkulima akajiuze?je mnataka mtoto wa mvuvi ajiize kwenye kazi za unyang'anyi?

Ifike wakati tuwajibike kwa makosa ambayo tunayatengeneza wenyewe.
Fedha zimeenda kwenye korosho, ngoja tukauze kwanza.
 
Mkuu mm nilijua aliyesoma private ndio hapati mkono,nashangaa kuna ndugu yangu kasoma shinyanga huko kayumba kuanzia darasa la 1 mpaka kidato cha sita na chuo kachaguliwa UDSM lakin mkopo kakosa,na sio yeye tu wapo wengi,
 
Mkuu mm nilijua aliyesoma private ndio hapati mkono,nashangaa kuna ndugu yangu kasoma shinyanga huko kayumba kuanzia darasa la 1 mpaka kidato cha sita na chuo kachaguliwa UDSM lakin mkopo kakosa,na sio yeye tu wapo wengi,
Amechaguliwa kozi gani? Kuna kozi zingine sio kipaumbele kupewa mkopo.

Pia tatizo limaweza kuwa kwenye taarifa zake alizozijaza wakati wa kuomba mkopo.
 
Naona tayari

ushaingiza siasa...Watanzania wenye matatizo ya akili wapo wengi hata angengia lowasa shida ipo pale pale.
So you mean nina matatizo ya akili ?
Emu futa comment yako kabla wenye akili wenzangu hawajakudharau
Unajua maana ya siasa wewe ?
Watanzania wasiojielewa ni wengi sana ukute wewe hapo una Elimu ya chuo kikuu afu unashindwa kuelewa kuwa huyo rais wako alifanya siasa kuagiza watoto wa private school wasipewe mikopo kwani alitafuta sifa kwa watoto wa hao masikini
 
Amechaguliwa kozi gani? Kuna kozi zingine sio kipaumbele kupewa mkopo.

Pia tatizo limaweza kuwa kwenye taarifa zake alizozijaza wakati wa kuomba mkopo.
Kuna jamaa yangu yupo mzumbe huko course ya social science juzi kapewa mkopo
Yani haya mambo hayaeleweki
 
inauma sana. watoto wengine wanakuwa kama si watanzania. Her i wangepewa hapo kidogo hata kama wanadai wamesoma st. Mary au wanachukua kozi zisizopewa kipaumbele. wazazi wao pia ni walipa kodi katika Taifa hili. inauma sana. umemsomesha mtoto kwa vicoba ili apate elimu bora leo wanatengwa. sad
 
Back
Top Bottom