Mushi Eward
Member
- Apr 17, 2013
- 35
- 5
Habari njema kwa wanafunzi wa SUA wakati tukisheherekea kuwaaga dada na kaka zetu waliohitimu leo... Ni kwamba majina ya loan beneficeries yamebandikwa kwenye ubao wa matangazo pale Freedom square. Wanachuo mnaarifiwa kuhakiki na kusaini majina yenu kesho tarehe 30, Octoba kuanzia saa 2 asubuhi...!