Habari za muda huu ndugu zangu JFC?
Naombeni mnisaidie computer yangu ina tatizo la kutorestart. Mwanzo kabla sijaiformat ilikuwa inauwezo wa kurestart lakini kwa sasa nikiishutdown au nikiizima kwa muda huo haiwezi kuwaka mpaka ikae muda muda fulni ndipo itaanza kuboot
Naombeni mnisaidie computer yangu ina tatizo la kutorestart. Mwanzo kabla sijaiformat ilikuwa inauwezo wa kurestart lakini kwa sasa nikiishutdown au nikiizima kwa muda huo haiwezi kuwaka mpaka ikae muda muda fulni ndipo itaanza kuboot