Help

silzawa

Member
Mar 6, 2014
6
1
Wana Jf msaada ama ushauri juu ya tatizo la bint yangu ni kachanga kana umri wa mwezi mmoja na week sasa lakini tumbo la mnyima raha kabisa analia mno alafu choo kikubwa yapata cku 3 hajapata wakati si kawaida msaada please.
 
Je unafahamu kuhusu mtoto kujaa hewa tumboni (kuwa colic)? Je unamuacha mtoto acheuwe kwanza kabla ya kumlaza baada ya kunywa maziwa? Unajua jinsi ya kufanya au kumuweka ili kusaidia mtoto acheue? Ya choo najua inaweza kutokea hivyo, ila ikizidi masiku zaidi basi nenda kwa daktari.
 
Wana Jf msaada ama ushauri juu ya tatizo la bint yangu ni kachanga kana umri wa mwezi mmoja na week sasa lakini tumbo la mnyima raha kabisa analia mno alafu choo kikubwa yapata cku 3 hajapata wakati si kawaida msaada please.
Nenda hospital haraka sana kesho ukiamka
 
Ama kwa hakika nilijaribu njia hiyo alileta tumaini baada ya siku kadhaa ikawa bado nikashauliwa dawa ya kupunguza gesi ya maji kama sijakosea (bellazon ) amemaliza cku mbili nyuma alitumia kwa muda wa 1 week.
 
Wana Jf msaada ama ushauri juu ya tatizo la bint yangu ni kachanga kana umri wa mwezi mmoja na week sasa lakini tumbo la mnyima raha kabisa analia mno alafu choo kikubwa yapata cku 3 hajapata wakati si kawaida msaada please.
Anakunywa maziwa ya mama pekee au unampa na aina nyingine?!
Wasiliana na Dr wake kama unaye wa binafsi kwa ushauri usisubiri asubuhi if possible!
 
Asante [HASHTAG]#scale[/HASHTAG] alikunywa ya kopo kwa muda wa siku 4 tangu azaliwe maana maziwa ya mama yake cku za awali hayakutoka lakin baada ya cku hizo anapata maziwa ya mama yake mpaka leo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom