wazabangah1
JF-Expert Member
- Jul 16, 2014
- 315
- 114
Kwa mwenye uelewa wa hizi flat screen mbili,
"Star x na hisense"
Yaani kichwa kimegoma kabisa naomba msaada wa maelezo yatakayonishawishi kununua moja ya brand hizo tajwa. Mfuko wangu uko na 300K hivyo nahitaji sana kuwa na huduma hiyo, maana chogo nimechoka kwakweli.
"Star x na hisense"
Yaani kichwa kimegoma kabisa naomba msaada wa maelezo yatakayonishawishi kununua moja ya brand hizo tajwa. Mfuko wangu uko na 300K hivyo nahitaji sana kuwa na huduma hiyo, maana chogo nimechoka kwakweli.