Roving Journalist
JF Roving Journalist
- Apr 18, 2017
- 2,802
- 11,961
Wanafunzi wa Chuo hicho Tawi la Boko wameulalamikia Uongozi wa Chuo hicho kwa madai kuwa wamepewa taarifa ya kutakiwa kulipa karo ya Chuo ilhali masomo yakiwa yamesitishwa kutokana na #CoronaVirus
Inadaiwa kuwa Uongozi wa Chuo umetishia kuwarudisha mwaka wa masomo kama hawato tekeleza maagizo ya kutakiwa kulipa fedha hizo
Aidha, chuo hicho kinadaiwa kuwa kimefungua Makundi ya WhatsApp kwa ajili ya kuendeleza masomo kwa njia ya Mtandao lakini Wanafunzi wanadai hakuna kinachoendelea kwenye makundi hayo
Inadaiwa kuwa Uongozi wa Chuo umetishia kuwarudisha mwaka wa masomo kama hawato tekeleza maagizo ya kutakiwa kulipa fedha hizo
Aidha, chuo hicho kinadaiwa kuwa kimefungua Makundi ya WhatsApp kwa ajili ya kuendeleza masomo kwa njia ya Mtandao lakini Wanafunzi wanadai hakuna kinachoendelea kwenye makundi hayo