Help please: Mawasiliano ya chuo cha Mi̇pango Dodoma

Hivi hao mipango si ndo nliskia walifukuzwa mahala flan kwenye intavyuu kwa kutotambulika au, madogo kabla hamjaenda jaribuni kucheki
hata kama umesoma UDSM lakini kama coz yako haipo katika muundo wa ajira uliyo iomba utajibiwa kuwa hutambuliki au hawakutambui... Mf. umesoma fani ya machenics na umeenda kuomba kazi ya civil eng. ni lazima wakujibu kuwa hawakutambui ktk mfumo wa ajira... ni lazima ume compatible na muundo wa uajiri mkuu... hivyo ndivyo nilielewa kwa hao madogo walio kutwa na hizo shida ktk usaili

na hapo zamani kabla kozi zao hazija ingizwa ktk muundo wa ajira huko nyuma walipata shida sana sana kupata ajira za serkali kama maafisa mipango, mazingira nk... wamelipigania hili na kwa sasa zipo ktk muundo na kwa kukupa mf. ni ajira za idara ya mipango au maafisa mipango zilizotangazwa na tume ya ajira wamesema au kuandika kuwa aliyesoma coz ya regional planning... ambayo inapatikana ardhi university na mipango... na waliosoma uchumi lakini priority wameweka regional planning...

pia wameshindwa sema ni reginal planning ya chuo gani ni kwakuwa zote zipo ktk muundo kwa hiyo yeyote anasifa... ni sawa na kusema aliyesoma civil eng alafu uorodheshe vyuo vyote vya civil... ni ngumu
 
kumbuka na ukiwa una ishi mbali na chuo unakuwa na usalama mdogo pia... na hasa kukiwa na watu wengi mno mlio panga kama peter f' huko mbwanga nk kuna vibaka na kadhalika... hivyo matatizo yapo mkuu chamsingi ni kujiandaa kuyakabili tu na kuyaelewa mapema... wakiwa wazoefu watajua jinsi ya kuishi

waswahili wanasema ujinga ni mara moja tu' wakati wa kwenda... wakati wa kurudi utaifahamu njia
I got your point Chillah labda sababu ya ugeni ila mipango kuna hostel nyingi sana hela yako tuu
 
Kwa mwanafunzi ambaye ameshawasili chuoni atufahamishe mambo ambayo yanaendelea huko mana na hii hali ya uchumi ni full kupoteana daah.
 
Back
Top Bottom