carmel
JF-Expert Member
- Aug 24, 2009
- 2,837
- 262
Dear members, naombeni msaada urgently. Mtu akitaka kuanzisha kampuni inayodeal na variety of things kama viwili vitau inakuwaje? Naikia inabidi iandikishwe wizara ya viwanda na biashara, lakini am not sure ndo maana nauliza. implication ya tax ikoje? Nataka kujua pprocess nzima, i will appreciate.