help please-forming a company

carmel

JF-Expert Member
Aug 24, 2009
2,837
262
Dear members, naombeni msaada urgently. Mtu akitaka kuanzisha kampuni inayodeal na variety of things kama viwili vitau inakuwaje? Naikia inabidi iandikishwe wizara ya viwanda na biashara, lakini am not sure ndo maana nauliza. implication ya tax ikoje? Nataka kujua pprocess nzima, i will appreciate.
 
Iam very shallow on this,lakini nijuavyo mimi,Kuna taasisi inaitwa Brela ndio inahusika kusajili makampuni.Nadhani ungeenda kuwaona wakupatie mchakato mzima.
Hongera kwa malengo ya kuanzisha kampuni.
 
mm nimefungua juzi,nenda brella utapata mahitaji yako yote ya maswali na majibu
 
mm nimefungua juzi,nenda brella utapata mahitaji yako yote ya maswali na majibu

kama umefungua juzi why dont u give an insight of the story....anyway..kwa uelewa wangu

...kuna kampuni za aina mbili..a LIMITED and SOLE proprietorship companies..sasa inategemeana na ipi unayotaka kuanzisha...

kwa LTD....taraibu ni sawa na ya sole ila tuu..unahitaji kuwa na memorandum of understanding/association kwakuwa utakuwa na more than 1 directors ambao watakuwea na liabilities kwenye kampuni...

nenda brella submit 3 company name ..ili wafanye name search...ukipata jina tayari unapeleka Memorandum 3 copies...wanaipitia then unapewa certificate of registration ya company....

kisha unaenda TRA unapata TIN...kisha unaenda municipal husika unachukua business licence ...then unaenda bank kufungua account ya kampuni kwa taratibu na masharti ya bank husika...

kama unafanya biashara inayodeal na vitu ambavyo vina-boards zinazogovern that business ...inafika wakati unahitaji pia ku-register na hizo boards ili uweze kupata registration ya board husika...say unataka kuuza madawa...inabidi pia upate kibali/registration ya TFDA...kwa mama sigonda...etc

kuhusu ku-run 3 business kwa kampuni moja ni rahisi tu..maana ulivyokuwa unasubmitt brella ile memorandum uliandika objectives za kampuni ..kwa hiyo inakuwa ni rahisi kukata leseni ya biashara zote tatu na kuzifanya kwa jina moja na possible 1 bank account ila utakuwa na usajili tofauti kwa kila governing board......

ni maoni tuu..na uelewa wangu binafsi
 
So sorry am in a bad situation cant advise at the moment,hope she understand,real sorry.
kama umefungua juzi why dont u give an insight of the story....anyway..kwa uelewa wangu

...kuna kampuni za aina mbili..a limited and sole proprietorship companies..sasa inategemeana na ipi unayotaka kuanzisha...

Kwa ltd....taraibu ni sawa na ya sole ila tuu..unahitaji kuwa na memorandum of understanding/association kwakuwa utakuwa na more than 1 directors ambao watakuwea na liabilities kwenye kampuni...

Nenda brella submit 3 company name ..ili wafanye name search...ukipata jina tayari unapeleka memorandum 3 copies...wanaipitia then unapewa certificate of registration ya company....

Kisha unaenda tra unapata tin...kisha unaenda municipal husika unachukua business licence ...then unaenda bank kufungua account ya kampuni kwa taratibu na masharti ya bank husika...

Kama unafanya biashara inayodeal na vitu ambavyo vina-boards zinazogovern that business ...inafika wakati unahitaji pia ku-register na hizo boards ili uweze kupata registration ya board husika...say unataka kuuza madawa...inabidi pia upate kibali/registration ya tfda...kwa mama sigonda...etc

kuhusu ku-run 3 business kwa kampuni moja ni rahisi tu..maana ulivyokuwa unasubmitt brella ile memorandum uliandika objectives za kampuni ..kwa hiyo inakuwa ni rahisi kukata leseni ya biashara zote tatu na kuzifanya kwa jina moja na possible 1 bank account ila utakuwa na usajili tofauti kwa kila governing board......

Ni maoni tuu..na uelewa wangu binafsi
 
Thanks dears, i have just opened that website ya brela (thanks charity), naona its very useful for now. Lakini haina maana kwamba sitaki ideas zingine.
 
Dear members, naombeni msaada urgently. Mtu akitaka kuanzisha kampuni inayodeal na variety of things kama viwili vitau inakuwaje? Naikia inabidi iandikishwe wizara ya viwanda na biashara, lakini am not sure ndo maana nauliza. implication ya tax ikoje? Nataka kujua pprocess nzima, i will appreciate.

Si mara zote ni lazima kuanzisha kampuni. Kama lengo ni kufanya biashara una weza pia kufanya kama mtu binafsi (sole propriatorship) au kwa kushirikiana na wengine (Partnership). ubaya wa kampuni, inakuwa na compliance requirements nyingi amabazo in some cases zinaweza kukudistract.

Kwa kusaidia kujibu swali lako. Cha kwanza ni kuisajiri (incorporation) hiyo kampuni BRELA (www.brela-tz.org). Katika hiyo process utatakiwa kuandaa Memorandum of Association (katiba inayoelezea umiliki na wamiliki wa kampuni, madhumuni ya kampuni na ukomo wa wajibu) na kama ukitaka Articles of Association (taratibu za kuendesha kampuni).

Baada ya hapo utatakiwa kuisajili kampuni kama kama mlipa kodi (TRA watakupa TIN). Na pia utatakiwa kuomba leseni (inaweza kuwa zaidi ya moja) kuendana na aina ya biashara kampuni itataka kufanya.
 
Who Cares? ...kuna kampuni za aina mbili..a LIMITED and SOLE proprietorship companies..sasa inategemeana na ipi unayotaka kuanzisha... kwa LTD....taraibu ni sawa na ya sole ila tuu..unahitaji kuwa na memorandum of understanding/association kwakuwa utakuwa na more than 1 directors ambao watakuwea na liabilities kwenye kampuni... nenda brella submit 3 company name ..ili wafanye name search...ukipata jina tayari unapeleka Memorandum 3 copies...wanaipitia then unapewa certificate of registration ya company.... kisha unaenda TRA unapata TIN...kisha unaenda municipal husika unachukua business licence ...then unaenda bank kufungua account ya kampuni kwa taratibu na masharti ya bank husika... kama unafanya biashara inayodeal na vitu ambavyo vina-boards zinazogovern that business ...inafika wakati unahitaji pia ku-register na hizo boards ili uweze kupata registration ya board husika...say unataka kuuza madawa...inabidi pia upate kibali/registration ya TFDA...kwa mama sigonda...etc kuhusu ku-run 3 business kwa kampuni moja ni rahisi tu..maana ulivyokuwa unasubmitt brella ile memorandum uliandika objectives za kampuni ..kwa hiyo inakuwa ni rahisi kukata leseni ya biashara zote tatu na kuzifanya kwa jina moja na possible 1 bank account ila utakuwa na usajili tofauti kwa kila governing board...... ni maoni tuu..na uelewa wangu binafsi[/QUOTE said:
Nakubaliana na huyu nadhani fungua website soma maelezo yao yanajitosheleza, ukijua aina ya company, MoU etc, unawaendea sanasana watakusaidia kui shape tu vinginevyo utaenda na kupewa maelezo yaliyo kwenye website ukasome.
 
Si mara zote ni lazima kuanzisha kampuni. Kama lengo ni kufanya biashara una weza pia kufanya kama mtu binafsi (sole propriatorship) au kwa kushirikiana na wengine (Partnership). ubaya wa kampuni, inakuwa na compliance requirements nyingi amabazo in some cases zinaweza kukudistract.

Kwa kusaidia kujibu swali lako. Cha kwanza ni kuisajiri (incorporation) hiyo kampuni BRELA (www.brela-tz.org). Katika hiyo process utatakiwa kuandaa Memorandum of Association (katiba inayoelezea umiliki na wamiliki wa kampuni, madhumuni ya kampuni na ukomo wa wajibu) na kama ukitaka Articles of Association (taratibu za kuendesha kampuni).

Baada ya hapo utatakiwa kuisajili kampuni kama kama mlipa kodi (TRA watakupa TIN). Na pia utatakiwa kuomba leseni (inaweza kuwa zaidi ya moja) kuendana na aina ya biashara kampuni itataka kufanya.
what if ni biashara ya mtu mmoja, i mean labda niwe kidogo wazi ili nipate insight. Nataka kuanzisha biashara (peke yangu) ambayo inatahusisha mimi kudeal na kampuni mabalimbali nikimaanisha tender etc, lakini cha msingi ambacho kinanisukuma kuanzisha kampuni ni ili nipate account bank itakayoniwezesha kufanya transactions. Hii pia inahitaji MoU?
 
kama umefungua juzi why dont u give an insight of the story....anyway..kwa uelewa wangu

...kuna kampuni za aina mbili..a LIMITED and SOLE proprietorship companies..sasa inategemeana na ipi unayotaka kuanzisha...

kwa LTD....taraibu ni sawa na ya sole ila tuu..unahitaji kuwa na memorandum of understanding/association kwakuwa utakuwa na more than 1 directors ambao watakuwea na liabilities kwenye kampuni...

nenda brella submit 3 company name ..ili wafanye name search...ukipata jina tayari unapeleka Memorandum 3 copies...wanaipitia then unapewa certificate of registration ya company....

kisha unaenda TRA unapata TIN...kisha unaenda municipal husika unachukua business licence ...then unaenda bank kufungua account ya kampuni kwa taratibu na masharti ya bank husika...

kama unafanya biashara inayodeal na vitu ambavyo vina-boards zinazogovern that business ...inafika wakati unahitaji pia ku-register na hizo boards ili uweze kupata registration ya board husika...say unataka kuuza madawa...inabidi pia upate kibali/registration ya TFDA...kwa mama sigonda...etc

kuhusu ku-run 3 business kwa kampuni moja ni rahisi tu..maana ulivyokuwa unasubmitt brella ile memorandum uliandika objectives za kampuni ..kwa hiyo inakuwa ni rahisi kukata leseni ya biashara zote tatu na kuzifanya kwa jina moja na possible 1 bank account ila utakuwa na usajili tofauti kwa kila governing board......

ni maoni tuu..na uelewa wangu binafsi
tHANKS WHOCARES, Lakini do i need an MoU kama ni SOLE proprietorship company? TRA TIN unalipia sh ngapi kwa business isiyozidi 5m?
 
Inategemea unaanzanisha aina gani ya Kampuni. Chini ya Sheria ya Makampuni (The Companies Act, cap, 212) kuna aina mbili tatu za makampuni (i) Private (ii) Public akwa zo zinaweza kuwa "limited liabilty (limited by shares), unlimited Companies" au Companies limited by guarantee. Lakini nyingi binafsi zinakuwa " Private Limited" au LTD" (haziruhusiwe kuuza hisa kwa umma kama "Public Limited Comapanies "PLC".

Kwa kuwa umekwishaelekezwa kwenye tovuti ya brela, mengi utajua hapo ningekushauri haya:

Kwanza kabla ya kwenda kusajili kampuni, ni vizuri ujue aina ya kampuni unayotaka, Jina la kampuni, wamiliki wake, itafanya kazi gani, na pengine unaweza kufikiria wadau wake, na pia nani atakuwa "Company Secretary".

Baada ya hapo unaandika kwa Msajili wa Makampuni (Registrar of Companies) kuaomba kupata "Name clarance" (yaani uthibitisho wa jina unaotaka kutumia.Jina ni lazima liwe "unique" ambalo halipo kwenye regista (yaani halijawahi kutumika na kampuni nyingine).

Baada ya kupata "name clarance" omba msaada wa Wanasheria wakuandalie "MEMARTS" (Memorundum and Articles of Association) na kuwasilisha sambamba na fomu maalumu utakazopata hapo BLERA na malipo kulingana na "fee structure" ambayo utaelekezwa BRELA au na Mwanasheria nayefahamu taratibu za kusajili.

Katika "Memorundum of Association" ndimo ambapo malengo (objectives) ya kampuni unayoianzisha yatakuwepo. Kisheria unaruhusiwa kuweka kadiri uwezavyo yale ya moja kwa moja/Malengo makuu (main objectives) na yale yenye mwelekeo au uhusiano wa karibu (incidentals to the main objectives )..Kwani kisheria kampuni hairuhusiwi kufanya yale yaliyo nje ya malengo ya kuanzishwa kwake.

Katika "Articles of Associations" ndimo muuundo wa Kampuni unaelezwa ni Katiba ya Kampuni (Constitution)

"Memorundum and Articles of Associations" unaweza kuziandaa mwenyewe au kwa kuwa ni nyaraka za kisheria, ni vyema unasaidiwa na wenye hiyo taaluma. Hizi zinapaswa kuidhinishwa na Mwanasheria (attestation) kwenye sahihi za wamiliki (shareholders/Directors) samabamba na hizo fomu za kuwasilishia nyaraka hizi kwa Msajii wa Makampuni. Msajili akiridhia, utapewa cheti (Registration/ Certificate of Incorporation) ambacho kisheria ndio uthibitisho wa usajili wa hiy kampuni wa kukuwezesha pia kuwasilisha TRA na mamlaka nyingine kwa ajili ya kuendelea na biashara.

Huu ni mwongozo tu!.

Ikiwa id
 
Ok. inategemea

Kama nataka kufungua company inabbidi uandae memorandum and articles of Association. Kabla ya kufanya hivyo inakubidi ufanyie kitu kinachoitwa search of company name. Hapa unaandika barua kwa mkurugenzi wa brella ukimention majina ambayo unataka kuipa kampuni yako. Hii inasaidia kwenye kuaandaa memorandum of association ili jina la kampuni yako lisije likafanana na la mtu mwingine ambaye ameshafungua kwa jina hilo. Hii inachukua only three working days kupata jibu. Thereafter unaendelea na process za kuandaa memeorandu,ukishamaliza unazipeleka pale brella (Jengo la Ushirika) ghorofa ya tatu. Pale wataangalia ukubwa wa memorandum kwani wanachaji kwa kile page mara copy ulizo nazo plus registration fee. Hapa watakupa form ambazo utajaza your personal details and of the like then zinabecertified na mwanasheria. Hapo ukimaliza unazirudisha brella wao watazipitia, hapo hakuna specific time yakusubiri but normally kuanzia wk 1. Thereafter kama kutakuwa hamna marekebisho kwenye memorandum then wanakupa certificate of incoorporation. Nadhani nimeeleweka.
 
ok. Inategemea

kama nataka kufungua company inabbidi uandae memorandum and articles of association. Kabla ya kufanya hivyo inakubidi ufanyie kitu kinachoitwa search of company name. Hapa unaandika barua kwa mkurugenzi wa brella ukimention majina ambayo unataka kuipa kampuni yako. Hii inasaidia kwenye kuaandaa memorandum of association ili jina la kampuni yako lisije likafanana na la mtu mwingine ambaye ameshafungua kwa jina hilo. Hii inachukua only three working days kupata jibu. Thereafter unaendelea na process za kuandaa memeorandu,ukishamaliza unazipeleka pale brella (jengo la ushirika) ghorofa ya tatu. Pale wataangalia ukubwa wa memorandum kwani wanachaji kwa kile page mara copy ulizo nazo plus registration fee. Hapa watakupa form ambazo utajaza your personal details and of the like then zinabecertified na mwanasheria. Hapo ukimaliza unazirudisha brella wao watazipitia, hapo hakuna specific time yakusubiri but normally kuanzia wk 1. Thereafter kama kutakuwa hamna marekebisho kwenye memorandum then wanakupa certificate of incoorporation. Nadhani nimeeleweka.

msaada hapa tafadhali je memorandum of association ndio sawa na business plan??
 
MKUUKUNA KAMPUNI ZA AINA TATU TU
1,Private Company- kampuni kam Mohamed entreprises na kazalika

2. PublicCompany- TBL, CRDB, NBC, TWIGA CEMENT

3.Private company isiyo kuwa na share zinatumiwa sana na NGOs


kablahujasajiri kampuni Tafuta watu ambao mtafanya nao hiyo kazi means madirecta nahakikisha yafuatayo

1. Waweni watu ambao mna lengo moja

2. Wawetiyali kujitolea kwa muda wao na hata fedha ili kukuza kampuni,

3. Uweunafaham Historical back ground yao/yake

4. Kamikibidi wewe muanzilishi wa wazo inabidi uwe na share 51% yaani kati ya sharezote wewe umiliki 51% YA HISA ZOTE
- Hiiitakusaidia kulinda aidea yako na hawataweza kukupindua kamwe kama wana niambaya
- Ukiwana 40% mwenzako 30% mwingine 10% mwingine 10% na mwingine 10%
Hawa 30%
10%
10%
10%
Wanawezaunganisha share zao na ikala kwako mazima so make sure unakua na 51% na hizo49% ndo wacheze nazo hao wengine

 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom