HELP: Nokia e71 haionekani kwenye PC.

magnifico

JF-Expert Member
Jan 14, 2013
7,429
13,172
Habari zenu wadau! Simu yangu Nokia e71 haionekani kwenye computer nikiiconnect kwa usb lakini ukiangalia kwenye simu inasema ipo connected....
Sijajua tatizo nini! Kwa anaelewa naomba anisaidie kutatua hili tatizo!
 
hata mm leo simu yangu nokia e71 pia imeonesha kukataa kwa mara ya kwanza wanataka niangalie usb connection mode na sijawahi kupangua settings sasa pia sijui tatizo nn wakubwa
 
hata mm leo simu yangu nokia e71 pia imeonesha kukataa kwa mara ya kwanza wanataka niangalie usb connection mode na sijawahi kupangua settings sasa pia sijui tatizo nn wakubwa

Heri yako wewe mi hata sijaambiwa nifanye nini! We nenda kwenye tools>settings>conectivity afu chagua mass storage itakusaidia kusolve hilo tatizo!
 
Habari zenu wadau! Simu yangu Nokia e71 haionekani kwenye computer nikiiconnect kwa usb lakini ukiangalia kwenye simu inasema ipo connected....
Sijajua tatizo nini! Kwa anaelewa naomba anisaidie kutatua hili tatizo!

Kwenye Nokia e71 na Symbian nyingi huwa kuna choice kama tatu kwenye USB Connectivity; Mass Storage, PC Suite & Data Transfer. Sasa kama ukitaka simu yako ionekane, Connect simu halafu chagua choice kati ya hizo tatu. Kama kwenye PC Suite hakikisha umefungua Nokia PC Suite, Na kama ni mass storage na hata pia kwenye data transfer. Kama simu haitaonekana jaribu ku-manage computer yako kuangalia kama kuna drivers zilizokosekana. Na pia hakikisha kila mara baada ya kumaliza kazi zako uwe una-remove simu kwenye Devices kwenye C. Panel
 
Kwenye Nokia e71 na Symbian nyingi huwa kuna choice kama tatu kwenye USB Connectivity; Mass Storage, PC Suite & Data Transfer. Sasa kama ukitaka simu yako ionekane, Connect simu halafu chagua choice kati ya hizo tatu. Kama kwenye PC Suite hakikisha umefungua Nokia PC Suite, Na kama ni mass storage na hata pia kwenye data transfer. Kama simu haitaonekana jaribu ku-manage computer yako kuangalia kama kuna drivers zilizokosekana. Na pia hakikisha kila mara baada ya kumaliza kazi zako uwe una-remove simu kwenye Devices kwenye C. Panel

Asante mkuu! Ebu nijaribu hapa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom