Henge
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 6,933
- 1,510
Mkuu preta inamaana na wewe unamsaport kutoa mimba,mkuu.....mi naona ungekwenda hospital ukapata ushauri wa kitaalam....
kuuliza humu jf....sawa unaweza kupewa namna....lakini je usalama wako utakuwa mahali pazuri....?
nikimaananisha ukiover bleed labda, au ukihitaji huduma zingine za kitabibu.....itakuwaje....?
kumbe wengine hampo kama mnavyooenekana eeeh!