habari zenu wakuu.. naomba msaada wa mawazo, nko njia panda kidogo.
Mimi ni kijana 25yrs nlianza maisha ya kujitegemea kama miaka 2 iliopita baada ya kumaliza elimu yangu ya diploma, makazi yangu ni dar es salaam., katika shughuli zangu za vibarua nliweza kupanga chumba na kunua kila kitu kinachotakiwa ndani,, nakujiwekea balance ya 2M, kutokana na msukosuko wa uchumi wa nchi yetu kwa sasa wachina wamerudi kwao ivo sina shughuli yoyote ya kuniingizia kipato kwa sasa..., Ivo nkawa nafikilia nianze biashara yyte kwa balance angu hii ya 2M, wazo langu la kwanza ilikua nifanye biashara ya kibanda cha chips pia ntafute mtu wa kunisaidia sababu sina uzoefu wa biashara hii, pili nifungue center niuze vifaa vya simu na umeme. NOTE (SIJAWAI FANYA BIASHARA YOYOTE KATIKA MAISHA YANGU)..,
Nkiwa bado nafikilia wazo langu ili la kufanya biashara, last week nmepata kazi kampuni flani nmepangiwa niende mkoani Rukwa kama kituo changu cha kazi.., ntapewa mshaara wa laki 6 kwa mwezi contract ya mwaka mmoja, nasita kukubali offer hii sababu naona mwaka mmoja ni mfupi sana kuanza upya makazi sehemu nyingine, nawaza niondoke na vitu vyangu vya ndani "naona ni ghalama kubwa sana kuvisafirisha mpaka rukwa", au nitafute kijana akae apa aniiangalizie chumba ilo pia naona ntaongeza ghalama ya kulipa kodi sehem mbili.
.
.
Najua umu kuna vijana wenzangu na watu wazima wenye ushauri mzuri na mawazo mapana zaidi ya kimaisha., naomba ushauli wenu lipi ni jema kati ya hayo, au nifanye jambo gani sahihi zai..
NAWASILISHA.
Mimi ni kijana 25yrs nlianza maisha ya kujitegemea kama miaka 2 iliopita baada ya kumaliza elimu yangu ya diploma, makazi yangu ni dar es salaam., katika shughuli zangu za vibarua nliweza kupanga chumba na kunua kila kitu kinachotakiwa ndani,, nakujiwekea balance ya 2M, kutokana na msukosuko wa uchumi wa nchi yetu kwa sasa wachina wamerudi kwao ivo sina shughuli yoyote ya kuniingizia kipato kwa sasa..., Ivo nkawa nafikilia nianze biashara yyte kwa balance angu hii ya 2M, wazo langu la kwanza ilikua nifanye biashara ya kibanda cha chips pia ntafute mtu wa kunisaidia sababu sina uzoefu wa biashara hii, pili nifungue center niuze vifaa vya simu na umeme. NOTE (SIJAWAI FANYA BIASHARA YOYOTE KATIKA MAISHA YANGU)..,
Nkiwa bado nafikilia wazo langu ili la kufanya biashara, last week nmepata kazi kampuni flani nmepangiwa niende mkoani Rukwa kama kituo changu cha kazi.., ntapewa mshaara wa laki 6 kwa mwezi contract ya mwaka mmoja, nasita kukubali offer hii sababu naona mwaka mmoja ni mfupi sana kuanza upya makazi sehemu nyingine, nawaza niondoke na vitu vyangu vya ndani "naona ni ghalama kubwa sana kuvisafirisha mpaka rukwa", au nitafute kijana akae apa aniiangalizie chumba ilo pia naona ntaongeza ghalama ya kulipa kodi sehem mbili.
.
.
Najua umu kuna vijana wenzangu na watu wazima wenye ushauri mzuri na mawazo mapana zaidi ya kimaisha., naomba ushauli wenu lipi ni jema kati ya hayo, au nifanye jambo gani sahihi zai..
NAWASILISHA.