unapo appeal lazma uwe na supporting documments either uwe na death cert ya baba au ya mama,ka hujiwezi kuna fomu utapata kwa mtendaji wa mtaa utaambatanisha
nina hasira na hawa heslb?ngoja tufungue chuo,haiwezekani dogo kakosa loan i hali kasoma gvt na kajitahid na wengine wenye vigezo.haiwezekani tunataka wadogo zetu wawe katika hali nzuri tunavyomaliza..
Yaan m2 unapata 1 alaf hupat mkopo, hii nchi ya ajabu sana.aliyeko ud hana mkopo, aliyeko tumain anao. Sa kat ya ud na tumain wap kna wepec wa kumkopesha mwanafunz in terms of fees, !! Tanganyika tambarare.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.