mujoma2011
Member
- Jun 2, 2011
- 6
- 0
Kuna dogo hapa kachaguliwa to parsue BACHELOR OF SCIENCE IN ENVIRONMENTAL ENGENEERING at ARDHI UNIVERSITY.
So shida yangu,nataka kujua 1. hii coz inahusika na nini hasa ,2.mtu aliye graduate coz hii anafanya kazi zipi,3.ina position gani katika soko la ajira tanzania,4.wat about ts salary ranks,5.fuculty requirement zake if any.
And finaly vipi kuhusu chuo cha ardhi na ubora wa degree hii and maelezo yoyote concerning this coz.
Naomba kuwasilisha
So shida yangu,nataka kujua 1. hii coz inahusika na nini hasa ,2.mtu aliye graduate coz hii anafanya kazi zipi,3.ina position gani katika soko la ajira tanzania,4.wat about ts salary ranks,5.fuculty requirement zake if any.
And finaly vipi kuhusu chuo cha ardhi na ubora wa degree hii and maelezo yoyote concerning this coz.
Naomba kuwasilisha