Help in Bachelor of science in environ mental engeneering at ardhi university!

mujoma2011

Member
Jun 2, 2011
6
0
Kuna dogo hapa kachaguliwa to parsue BACHELOR OF SCIENCE IN ENVIRONMENTAL ENGENEERING at ARDHI UNIVERSITY.
So shida yangu,nataka kujua 1. hii coz inahusika na nini hasa ,2.mtu aliye graduate coz hii anafanya kazi zipi,3.ina position gani katika soko la ajira tanzania,4.wat about ts salary ranks,5.fuculty requirement zake if any.
And finaly vipi kuhusu chuo cha ardhi na ubora wa degree hii and maelezo yoyote concerning this coz.
Naomba kuwasilisha
 
Ye akasome 2,hayo mambo mengne atayajulia mbele ya safari.
 
Mkuu Environmental Engeneering inahusiana na mambo ya innovation na maintainance ya mazingira... (toka maji, ardhi, hewa) Hivo kuhusisha saana kama jinsi ya kuhakikisha mazingira yapo katika hali nzuri - na hii ndo Institutions kama makampuni lazima wahusishe watu wa sector hii... Mfano Mzuri ni Barrick Gold mines... pale kable tu ya kuanzisha Mgodi hawa watu ni lazima walipita pale... na pia huendelea kupita.... hasa hata makampuni ambayo hutoa saana waste disposalsl...

Hio course itakua sio chini ya miaka minne but yaweza kua hata five - Chuo cha Ardhi kwa hio course ni wazuri (IMO) na ni moja ya courses ambayo anaenda kusoma ajitahidi na ahakikishe kua ana GPA nzuri akimaliza... ataenda places... for hio ni moja ya areas imekua/inakua saana hopefully.
 
tahadhari ndugu:most of the times kufanikiwa kwa mtu inategemea anajituma kiasi gani,attitude, kuwa sharp and creative na mengineyo.kuna watu ni madr wanatembea na mashati yameisha kola.kuna watu wamesoma political science and something,ila wanakula bata,wanaheshimika kwenye ulimwengu wa science etc.huwa namuwaza isaac newton,angekuwa mie nimelala kwa uvivu chini ya mti apple likanipiga,ningeona uvivu kula,ningefutika mfukoni nikiamka nilifanyizie.ila mwenzetu aliwaza mengi ya kutusaidia!
kila la kheri,niseme ni kozi nzuri sana.market haiko flooded na akijituma na kutokuzubaa,atafanikiwa sana.kuna issue za environmental audit na env impact assessment pia
 
Mkuu Environmental Engeneering inahusiana na mambo ya innovation na maintainance ya mazingira... (toka maji, ardhi, hewa) Hivo kuhusisha saana kama jinsi ya kuhakikisha mazingira yapo katika hali nzuri - na hii ndo Institutions kama makampuni lazima wahusishe watu wa sector hii... Mfano Mzuri ni Barrick Gold mines... pale kable tu ya kuanzisha Mgodi hawa watu ni lazima walipita pale... na pia huendelea kupita.... hasa hata makampuni ambayo hutoa saana waste disposalsl...<br />
<br />
Hio course itakua sio chini ya miaka minne but yaweza kua hata five - Chuo cha Ardhi kwa hio course ni wazuri (IMO) na ni moja ya courses ambayo anaenda kusoma ajitahidi na ahakikishe kua ana GPA nzuri akimaliza... ataenda places... for hio ni moja ya areas imekua/inakua saana hopefully.
<br />
<br />

HONESTLY I RILY APPRICEIT UR HELP.UR DETAILS R SO HELPFULL,BT THERE IS 1 THING I HAVE TO ASK,WHAT ABOUT FUCULTY REQUIREMENT
 
What about fuculty requirement ya iyo coz?
And is there anybody humu anasoma iyo fuculty hapo ardhi university aonge kidogo hapa and kama vipi ani PM!
 
<br />
<br />

HONESTLY I RILY APPRICEIT UR HELP.UR DETAILS R SO HELPFULL,BT THERE IS 1 THING I HAVE TO ASK,WHAT ABOUT FUCULTY REQUIREMENT

Sielewi requirements zao... But hata hivo hizo requirements inatakiwa mhusika afike chuo ndo anunue... na pia usitake Kujua Faculty requirements for iko wide... saizi imebadilishwa hivo inatakiwa uulizie College requirements.... Hivo hapo do not know the answer as in what is required..
 
tahadhari ndugu:most of the times kufanikiwa kwa mtu inategemea anajituma kiasi gani,attitude, kuwa sharp and creative na mengineyo.kuna watu ni madr wanatembea na mashati yameisha kola.kuna watu wamesoma political science and something,ila wanakula bata,wanaheshimika kwenye ulimwengu wa science etc.huwa namuwaza isaac newton,angekuwa mie nimelala kwa uvivu chini ya mti apple likanipiga,ningeona uvivu kula,ningefutika mfukoni nikiamka nilifanyizie.ila mwenzetu aliwaza mengi ya kutusaidia!
kila la kheri,niseme ni kozi nzuri sana.market haiko flooded na akijituma na kutokuzubaa,atafanikiwa sana.kuna issue za environmental audit na env impact assessment pia

Hapo kwenye red funga kazi ...
I mean kwa kitu chochote maishani..
santee
 
Back
Top Bottom