donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,040
- 21,513
niaje wakuu? kuna jamaa wangu amesahau admn. passowrd yake sasa anahitaji kulogin ila ndio ameshindwa. je kuna msaada gani naweza kumpatia ukitoa kuformat au kureinstal windows?
<br />Anapowasha Computer abonyeze F8, hii ni mara tu anapowasha kisha achague safe mode ikishawaka nenda ktk control panel user account change user account kwa kuondoa pasward.
<br /><br /><br />
<br /><br />
shukrani za dhati mkuu
<br />Ok, tumshukuru mungu maana ndiye muweza. <br />
<br /><br />
<br />