Jf ya sasa huelimikiHabari wana jamiiforum,
Nikiwa member mpya napenda kuwasalimu nyote, nafurahi leo hii kujiunga pamoja nanyi.
Natumai nitaelimika, kunufaika na kufaidika kwa michango yenu mbalimbali kwenye mada tofauti tofauti na majadiliano yenye tija!
Asanteni sana!
Karibu sana bila shaka wewe ni mlimbwende!? Kama jibu ni ndio upo mahali sahihi usisite kunieleza jambo lolote linalokutatizaHabari wana jamiiforum,
Nikiwa member mpya napenda kuwasalimu nyote, nafurahi leo hii kujiunga pamoja nanyi.
Natumai nitaelimika, kunufaika na kufaidika kwa michango yenu mbalimbali kwenye mada tofauti tofauti na majadiliano yenye tija!
Asanteni sana!
Karibu sana ila badili hio DP tafdhaliMmmh! Hapana mkuu, Mimi ni "me" kwa lugha ya malkia "male" .
Any ways shukrani pia mkuu.
Yah badili muweke jemedari mmoja unaemkubali hapoAhahaaa! Huyo kwenye Dp ni "mtoto tu!" Sidhani kama ana athiri chochote mkuu!
Lakini kwa heshima yako nitabadiri mkuu!View attachment 1834463
Hapo sawa unaonekana unapenda sana watotoOkey, already done!
Kakosa