PSG Pambanaji
JF-Expert Member
- Jan 4, 2020
- 222
- 146
- Thread starter
- #21
Ahsante sana mkuuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.
Ahsante sana mkuuKaribu sana JF mjukuu wetu hapa kwa GT.
Ngoja nifikirie hivi hamna sheria itakubana heb nieleze mwenyewe kabala sijabaini na hii avatar yako daaah .Utanimkuu lakiniSawa
Ahsanteee mkuu watu8 naomba kuuliza swali kwanini members wa humu wanaitana wakuu ?mi nimeiga tu sa sijui n mazoea au maagizo!!Karibu sana JamiiForums...
Msemo tu uliozoeleka kuonesha heshima pasipo kujali tofauti baina yetu/ tofauti zetuAhsanteee mkuu watu8 naomba kuuliza swali kwanini members wa humu wanaitana wakuu ?mi nimeiga tu sa sijui n mazoea au maagizo!!
Maji ya kunywa tu basiunatakaje mkuu?
karibu.....Maji ya kunywa tu basi
karibu
Ahsante sana mkuuKaribu sana mkuu...