A Ainekisha Member Nov 1, 2010 10 0 Nov 1, 2010 #1 Habari wadau? Kwanza hongera wapiga kura wa jimbo la Nyamagana na Ilemela kwa ushindi wa kishindo.
P PhD JF-Expert Member Jul 15, 2009 4,598 3,671 Nov 1, 2010 #2 Ainekisha said: Habari wadau? Kwanza hongera wapiga kura wa jimbo la Nyamagana na Ilemela kwa ushindi wa kishindo. Click to expand... nipe matokeo ya hapo mkuu.
Ainekisha said: Habari wadau? Kwanza hongera wapiga kura wa jimbo la Nyamagana na Ilemela kwa ushindi wa kishindo. Click to expand... nipe matokeo ya hapo mkuu.
TUKUTUKU JF-Expert Member Sep 14, 2010 11,765 4,033 Nov 1, 2010 #3 Habari wadau? Kwanza hongera wapiga kura wa jimbo la Nyamagana na Ilemela kwa ushindi wa kishindo,originally posted by AINEKISHA Tupe matokeo zaidi mkuu,ina maana na Diallo naye ameanguka!!!
Habari wadau? Kwanza hongera wapiga kura wa jimbo la Nyamagana na Ilemela kwa ushindi wa kishindo,originally posted by AINEKISHA Tupe matokeo zaidi mkuu,ina maana na Diallo naye ameanguka!!!
N nyuki dume JF-Expert Member Oct 8, 2010 435 32 Nov 1, 2010 #4 Mbona Bw Kabwe hataki kutangaza ushindi huo?au anataka kuchakachua matokeo? :rip: Masha
JOYCE PAUL JF-Expert Member Jan 8, 2010 1,005 82 Nov 1, 2010 #5 Tarrifa iliyopo mpaka sasa ni kuw amasha anaongoza..............