no umesalimia kama popooooooooooooooooooooooooooooooooooooooh!utakuta kichwa cha habari hello habari yenyewe sasa mimi mtoto wa general nani sijui aliyefariki huko lagos akaacha mamilioni ya pesa kwa acc yake so nisaidie kuzitoa maana naishi kama mkimbizi kwenye kambi ya,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,,kumbe upopo tu!popooooooooooooooooooooooooooooooooohSawa wadau nitajitambulisha kwenye jukwaa la utambulisho siku nyingine, kuku mgeni hakosi kamba mguuni.
Sasa Swado unachakachua Jukwaa! Hili suala la Katiba Mpya linahusu nini na kujitambulisha kwako?Ni kweli tunahitaji mabadiliko ya katiba lakini bado tunahitaji mikakati thabiti la sivyo itakuwa ni blabla tu tutaendelea kuburuzwa.