M Msafiri Kasian JF-Expert Member Sep 9, 2011 2,133 659 Sep 17, 2011 #1 Nilisahau kupitia huku,naombeni mnipokee ili niwe family member wenu.
Mshume Kiyate JF-Expert Member Feb 27, 2011 6,766 894 Sep 17, 2011 #5 Karibu sana jamvini, sijui unatumia kinywaji gani? Sema ili member Katavi akuletee!
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,701 Sep 17, 2011 #6 Kuna kahawa, juisi ya ukwaju, soda na vilevi kama kawaida kwa ajili yako. Unatumia kinywaji gani mkuu?
Kuna kahawa, juisi ya ukwaju, soda na vilevi kama kawaida kwa ajili yako. Unatumia kinywaji gani mkuu?