king gold chain
Member
- Jul 15, 2017
- 61
- 20
inakuwaj hapoh msaadah
uliomba kozi ganiPoa poa wakuu
OKBasic certificate in health science
Tusubili mm,mwwnyeww ndo hivo nangoja tu man wameniandikia hivohivomsaadah wakuu hpo inakuwajeh
Not eligibleOK
Wamesema umekosa kwa sababu ya competition au not eligible?
Siyo ustaarabuNot eligible
Sawa lakn mm kwangu ndo nmeandikiwa hivo bas naomba unijibu tu mkuuuSiyo ustaarabu
Mbona unamjibia,acha ujinga
Uku siyo facebook
Basic certificate in health science
Mm amaBe patient
Hujaelewa hapo chalii
OKSawa lakn mm kwangu ndo nmeandikiwa hivo bas naomba unijibu tu mkuuu
NdiyoHii ni kozi mpya?
Kwahyoo storuhusiwa kuomba tena ama vpOK
Mawili eidha huna sifa ya kozi uliyomba. Au kuna vitu ulikosea kwenye kuapply