Hello! Kwanini nimejiunga jf na nia ya kuleta mabadiliko humu jamvini

lara 1

JF-Expert Member
Jun 10, 2012
15,700
29,111
Kwanza kama muungwana nawasalimu! Wakubwa shikamooni na wadogo marahaba!

Mimi kama jina langu linavoonesha ni mwanamke, si msomi sana ila nimepitapita skuli japo mambo hayakuwa mazurii kivile ila kadegree ninacho.

Kwanini nimejiunga jf?

Kwanza kabisa mimi sikuwa mdau wa jf hata kwa kupita, ila juzi juzi nilifungua blog yangu www.tanzaniastylers.blogspot.com sasa nikahamasishwa na mdau mmoja anaitwa Marketer aniwekee post kuwakaribisha wadau, nikafurahi na kukubali. Sasa post ilipata too much negativity na bad press kutoka kwa wadau wa humu. Kidogo ni give up, bt i didnt. Ofcourse kati ya zile negativity nilijifunza mengi sana na nimeboresha kablog sana sana. Sababu za kujiunga kwangu kubwa ni

1. Wadau ni wengi sana na wana moyo wa kuchangia kila jambo. So jamvi liko active 100%
2. Uwazi na ukweli wa hali ya juu, kama njano unapewa live ni njano sio kuzugwa.



3.Jakwaa lina hazina ya vichwa na watu makini sana


Mabadiliko ninayotaka kuleta

1. Kuwe na jamvi la fashion na urembo

2.Kuwe na jamvi la wanawake ili tupate fargha kidogo kutoka kwa mibaba nyie.

Ntaletaje hayo mabadiliko?
Im still figuring that out.
"The end justify s the means"

Namalizia na kulikubali jamvi kuwa ni namba 1 tanzania.
 
Kwanza kama muungwana nawasalimu! Wakubwa shikamooni na wadogo marahaba!

Mimi kama jina langu linavoonesha ni mwanamke, si msomi sana ila nimepitapita skuli japo mambo hayakuwa mazurii kivile ila kadegree ninacho.

Kwanini nimejiunga jf?

Kwanza kabisa mimi sikuwa mdau wa jf hata kwa kupita, ila juzi juzi nilifungua blog yangu www.tanzaniastylers.comsasa nikahamasishwa na mdau mmoja anaitwa Marketer aniwekee post kuwakaribisha wadau, nikafurahi na kukubali. Sasa post ilipata too much negativity na bad press kutoka kwa wadau wa humu. Kidogo ni give up, bt i didnt. Ofcourse kati ya zile negativity nilijifunza mengi sana na nimeboresha kablog sana sana. Sababu za kujiunga kwangu kubwa ni

1. Wadau ni wengi sana na wana moyo wa kuchangia kila jambo. So jamvi liko active 100%
2. Uwazi na ukweli wa hali ya juu, kama njano unapewa live ni njano sio kuzugwa.



3.Jakwaa lina hazina ya vichwa na watu makini sana


Mabadiliko ninayotaka kuleta

1. Kuwe na jamvi la fashion na urembo

2.Kuwe na jamvi la wanawake ili tupate fargha kidogo kutoka kwa mibaba nyie.

Ntaletaje hayo mabadiliko?
Im still figuring that out.
"The end justify s the means"

Namalizia na kulikubali jamvi kuwa ni namba 1 tanzania.
lara 1, karibu JF.
Nakumbuka nilichangia thread ya Marketer kuhusu hili. Naomba nikwambie ogopa mtu anayekusifia hata unapoharibu, huyo hakutakii mema. Ukitaka maendeleo siku zote ni muhimu kuaccept white and black kama zilivyo, hiyo inakupa challenge ya kurekebisha na kuendelea mbele.

Inabidi uzichukulie zile comments kama challenges katika ku improve blog yako. Ukizingatia maoni yaliyotolewa kwenye ile thread natumai blog yako itakuwa one of the best kwa Tanzania.

BTW, hapo kwenye red, hiyo address ni sahihi? www.tanzaniastylers.com???


:coffee:
 
Karibu sana kumbe kabla nasoma wew ndo ulikuwepo humu ....enzi hizo Natafuta Simu mjini nikapata simu inauzwa elfu 20 imeandikwa Zain Mimi nikanunua Lain ya voda Saa ngapi isiendee kunigomea!!???.....


Nakumbuka enzi hizo bodaboda ndo zinaingia mjin wanagogwa magari Ambulance zinalia kila kona mjini ......
 
Karibu sana kumbe kabla nasoma wew ndo ulikuwepo humu ....enzi hizo Natafuta Simu mjini nikapata simu inauzwa elfu 20 imeandikwa Zain Mimi nikanunua Lain ya voda Saa ngapi isiendee kunigomea!!???.....


Nakumbuka enzi hizo bodaboda ndo zinaingia mjin wanagogwa magari Ambulance zinalia kila kona mjini ......
naona umefukua kaburi

Sent from my iDevice using Tapatalk
 
Back
Top Bottom