We ni me au ke..?Salaam wana Jamii Forum
Naomba mgeni mimi mnipokee.
Hapana mkuu.Wee ni Iqra huyuhuyu binti wa kisomali ulotutoa mate kipindi kile??
Sent using Jamii Forums mobile app
Safi sana na karibu jamiiforum,Mimi ndio nitakuwa mpokezi wako na kama ukikwama ktk namna yoyote niite nikukwamua.. ukipata shida humu nite nami nitaitika kutimiza wajibu wako mrembo..Mimi ke
Hapana mkuu.
Ni jina tu nimelipenda
HahahaaaAahh sawa maana nilijua ndo huyo mwanadada shombe la kisomali aiseee ulitutoa udenda enzi izo
Sent using Jamii Forums mobile app
Swali la msingi bado hujalijibu!Nashukuru sana KENZY
🚶🚶Niko kwa uhusiano mkuu
Hahahah huna lolotee usikute hata nikukuhotspot nawee ukani Wi-Fi tunaweza rushiana nyimbo za mahaba mchana huu!!Hahahaaa
Mimi niko mashambani ndani ndani huku
Hahahaaa.. sidhani kama umewahi kusikia mahali kunaitwa maholong'wa.Hahahah huna lolotee usikute hata nikukuhotspot nawee ukani Wi-Fi tunaweza rushiana nyimbo za mahaba mchana huu!!
Sent using Jamii Forums mobile app