Clueless14
JF-Expert Member
- Aug 27, 2014
- 3,104
- 4,738
Yaani I’m salivating down here.
Nipo Msata lakini ukisema tu napanda kwangwaru nielekee huko
Sikufundishi tabia mbaya kuangalia watu wakimwaga radhi., kaa huko huko msata
Yaani I’m salivating down here.
Nipo Msata lakini ukisema tu napanda kwangwaru nielekee huko
Sikufundishi tabia mbaya kuangalia watu wakimwaga radhi., kaa huko huko msata
Kumbe unaandika usichomaanisha? Basi tuishie hapaAcha upoyoyo, ni wapi nilipoandika au kulazimisha kuwa consumable ni chakula pekee? Nadhani unawashwa! Kwa namna nilivyokuwa nikimuuliza mtoa mada alijua ni jokes ndiyo maana hakuendelea ila wewe kwa ujinga wako umevalia njuga mambo yasikukuhusu, eti unaniletea maana kutoka google, ina maana hujiamini?...
Wanapelekwa na nani?Wacongo wapo Sweden na Denmark, ila wamerundikwa hasa Australia, Canada na marekani wapo wengi sana!kwa makadirio ya chini kabisa ni wacongo 2000 wanaopelekwa ulaya kila mwaka
Sent by Diaspora
Mi niko kama wewe tu ....siku nikidondoka pale Sydney sirudi huku mazima!
Mi nishakata passport hizi mpya za magufuli kabisaaMi niko kama wewe tu ....siku nikidondoka pale Sydney sirudi huku mazima!
Ngoja niendelee kuchat na Nicole Kidman hapa anipe ramani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wee sepa tu sasa unangoja nini? Au mpaka ninja azuie safari kabisaMi nishakata passport hizi mpya za magufuli kabisaa
Nishapata kamchongo cha kwenda Malta, nakusanya nguvu tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Take it easy, brother... Ukifuatilia sana ya humu unaweza kufa kwa stress...Kumbe unaandika usichomaanisha? Basi tuishie hapa
Ngoja nikakuandalie makaziWee sepa tu sasa unangoja nini? Au mpaka ninja azuie safari kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi makazi ninayo tiyari Sydney mkuu...ntakukaribisha chief tukumbushane fix za watu humu JFNgoja nikakuandalie makazi
Fahari ya macho
Waeza ipata kwa le super wife/demu skikufungia kanga
Kama sina nitafanyaje
Acha kumkana.
Nasikia panaitwa The Penthouse
Hata sikupi clue
Acha kunibania