Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,262
- 105,424
Hizo data za weather zinaweza kuhojiwa usahihi wake sababu utaulizwa wamezitoa kutoka weather station ipi .. It could be true weather haikuwa nzuri.
Ni uwanja gani wa ndege tanzania unaongoza kwa ndege kushindwa kutua na kurudi zilikotoka. Ni kigoma na Bukoba
Hizo data si issue, tunaweza hata kuwauliza watu walio on the ground wakatuambia. Huwezi kuwa na hali ambayo hairuhusu helikopta kutua halafu ukawa na watu kibao wako mkutanoni wanamsubiri rais, haiingii akilini.
Unasema "it could be weather haikuwa nzuri" sawa, lakini utanote unatumia neno "could", sisi tunataka watuambie wanaposema hali ya hewa mbaya wanamaanisha ya wapi ili tuondoe hiyo "could" tupate vitu vya uhakika. Kwa nini tutumie could kwa vitu tunavyoweza ku verify ?
Helikopta haihusiani chochote na uwanja wa ndege, helikopta inaweza kutua hata kwenye uwanja wa mpira au juu ya jengo imara, kwa hiyo habari za uwanja wa ndege hazina uzito hapa. Na hata kama unaongelea habari za hali ya hewa, hata kama ni kweli kwamba nyanja hizi za ndege zinaongoza kwa hali mbaya ya hewa, kitu ambacho hujatuletea source, hii haimaanishi kwamba siku hiyo kulikuwa na hali mbaya ya hewa. Rekodi tofauti hazionyeshi hivyo.